Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yatangaza majimbo mapya 26

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeongeza majimbo mapya 26 ya ubunge.Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba hatua hiyo imechukuliwa ili kuiwezesha Serikali kufikisha huduma kwa wananchi kirahisi pamoja na kukuza demokrasia nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) leo imetangaza majimbo mapya ya uchaguzi 26

 

10 years ago

Michuzi

NEC YATANGAZA MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akitangaza majimbo mapya ya uchaguzi katika Ukumbi wa Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Emmanuel Massaka Globu ya Jamii)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...

 

10 years ago

Michuzi

NEC KUGAWA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI KWA VIGEZO


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini(NEC),inatarajia kuchunguza mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi na kuyagawa kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC,Jaji Mstaafu Damian Lubuva wakati alipokutana na viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili masuala mbalimbali ya Tume katika kuelekea uchaguzi Mkuu.
Amesema  ugawaji wa Majimbo,Tume imezingatia vigezo mbalimbali...

 

9 years ago

GPL

NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu ambayo ni Lulindi, Makunduchi na Paje kama yanavyoonekana kwenye jedwali hapo juu. Matokeo mengine ya awali ya urais yataendelea kuwajia kadri yatakavyokuwa yakitolewa na…

 

10 years ago

Michuzi

NEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii MAJIMBO mapya ya uchaguzi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuweza majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...

 

9 years ago

Michuzi

NEC yatangaza Majimbo ya Masasi Mjini na Ludewa kufanya uchaguzi tarehe 20 Desemba, 2015

Na Joseph Ishengoma, MAELEZO

Majimbo ya Masasi Mjini mkoani Mtwara na Ludewa mkoani Njombe yanatarajia kufanya uchaguzi wa wabunge kesho (20.12.2015) ili kuwapata viongozi watakaoongoza majimbo hayo kwa kipindi cha miaka mitano.

Majimbo hayo hayakufanya uchaguzi tarehe 25.10.2015 kutokana na baadhi ya wagombea katika majimbo hayo kufariki dunia.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Damiani Lubuva amewasihi wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa amani na utulivu. Jaji Lubuva amesema...

 

10 years ago

Habarileo

RCC yapendekeza majimbo mapya

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.MAJIMBOya uchaguzi mkoani Iringa yako mbioni kuongezeka, kama itaridhiwa na Tume yaTaifa ya Uchaguzi (NEC) kutoka sita ya sasa hadi manane baada ya kikao maalumu cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Iringa (RCC), kuafiki nyongeza hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yaongeza majimbo mapya 4

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salum TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imetangaza majina ya majimbo ya uchaguzi na mipaka huku ikiongeza idadi ya majimbo mapya manne.

 

10 years ago

Habarileo

Majimbo mapya hadharani Juni 31

 Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima RamadhaniMAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani