NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/lulindi.jpg)
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu ambayo ni Lulindi, Makunduchi na Paje kama yanavyoonekana kwenye jedwali hapo juu. Matokeo mengine ya awali ya urais yataendelea kuwajia kadri yatakavyokuwa yakitolewa na…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL26 Oct
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza majimbo matatu ya awali ya uchaguzi leo katika Ukumbi wa Mwalimu nyerere ambayo ni Paje, Makunduchi pamoja na Lulindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xbfxZ2o0lAg/Vi3bxIDckvI/AAAAAAAADGo/kjwOsXo8WJY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.49%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c2Hnm7YmeRM/Vi3bxX4o6zI/AAAAAAAADG0/251kKxLr5po/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.34.00%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VQJlmxAWuc/Vi3bzQDgC7I/AAAAAAAADHA/cmB9WPOWStc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.41%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--gT796GgeFU/Vi3b09zKNRI/AAAAAAAADHI/D8clm8SAV9c/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.48%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WG_8WHck3ZM/Vi3b1Ow17RI/AAAAAAAADHM/vEIW8nUMcNY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.43.07%2BAM%2B1.png)
ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xbfxZ2o0lAg/Vi3bxIDckvI/AAAAAAAADGo/kjwOsXo8WJY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.49%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c2Hnm7YmeRM/Vi3bxX4o6zI/AAAAAAAADG0/251kKxLr5po/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.34.00%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VQJlmxAWuc/Vi3bzQDgC7I/AAAAAAAADHA/cmB9WPOWStc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.41%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--gT796GgeFU/Vi3b09zKNRI/AAAAAAAADHI/D8clm8SAV9c/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.48%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WG_8WHck3ZM/Vi3b1Ow17RI/AAAAAAAADHM/vEIW8nUMcNY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.43.07%2BAM%2B1.png)
ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSUG5mYXAAARAeX.png)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Jaji-Lubuva-620x309.jpg)
NEC YAKAMILISHA ZOEZI LA KUTANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imekamilisha zoezi la kutangaza matokeo ya awali ya Urais kwa majimbo yote 264 yaliyoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Akizungumza wakati wa kukamilisha zoezi hilo lililokuwa likifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva amesema kuwa kazi ya kutangaza...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s72-c/5.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA MAJIMBO 69 KWA NGAZI YA URAIS LEO MCHANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AAv7MA6keFY/VjHlVnyhCmI/AAAAAAAAd4o/tPzc4QMnPfA/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xHebSMnU4OA/VjHlUu2ltDI/AAAAAAAAd4Y/-Om16IgFSmA/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nj8_DK8B71w/VjHlUWOOwPI/AAAAAAAAd4Q/P367gcc86-k/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-koZHR5ig3XA/VjHlWdPuimI/AAAAAAAAd4s/Tnmbd7SETL0/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r__VGBjNznk/VjHlW00pINI/AAAAAAAAd40/nPJBc_PDE3M/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M1QPbl9I854/VjHlXLpk6SI/AAAAAAAAd44/OFLRXchgjNs/s640/8.jpg)
Endelea kufuatilia
9 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jioni hii imeendelea kutoa matokeo ya awali ya urais katika majimbo 13 ambapo mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza kwa majimbo tisa wakati Mgombea wa Chadema, Edward Lowassa anaongoza majimbo manne.
10 years ago
Mwananchi14 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya 26
>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeongeza majimbo mapya 26 ya ubunge.Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian Lubuva aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba hatua hiyo imechukuliwa ili kuiwezesha Serikali kufikisha huduma kwa wananchi kirahisi pamoja na kukuza demokrasia nchini.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) leo imetangaza majimbo mapya ya uchaguzi 26
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania