NEC YAKAMILISHA ZOEZI LA KUTANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS

Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) leo imekamilisha zoezi la kutangaza matokeo ya awali ya Urais kwa majimbo yote 264 yaliyoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Akizungumza wakati wa kukamilisha zoezi hilo lililokuwa likifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva amesema kuwa kazi ya kutangaza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
10 years ago
GPL
NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
10 years ago
Mwananchi21 Aug
NEC kutangaza matokeo urais ndani ya siku tatu
10 years ago
GPL26 Oct
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Matokeo ya awali urais, ubunge yaanza kutolewa nchini
10 years ago
MichuziMATOKEO YA AWALI YA URAIS MAGUFULI ANAONGOZA DHIDI YA WAGOMBEA WENZAKE
10 years ago
VijimamboYALIYOJIRI LEO KATIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE YALIPOKUWA YANATANGAZWA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
10 years ago
Mwananchi19 Sep
NEC: Matokeo kura za urais kubandikwa vituoni
10 years ago
VijimamboNEC KUTANAGZA MATOKEO YA URAIS NDANI YA SIKU TANO.
Tume ya taifa ya uchaguzi imewatoa hofu watanzania kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu imejiimarisha kimfumo wa kielektronic kuhakikisha matokeo yote yanayopatikana yanatangazwa ndani ya kipindi kifupi huku ikiahadi kutangaza matokeo ya urais ndani ya siku tano.Kwa mujibu wa tume ya taifa ya uchaguzi inasema katika kipindi hiki hakutakuwa na dosari zozote za kimfumo hasa taarifa za wagombea huku ikijinasibu kuwa kupitia mfumo wake...