MATOKEO YA AWALI YA URAIS KATIKA MAJIMBO 3 (VIDEO)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/lulindi.jpg)
NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ns0U0wAcR7k/VjD9lORNuOI/AAAAAAAIDP4/p4fzoT0Y-as/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
9 years ago
GPL27 Oct
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xbfxZ2o0lAg/Vi3bxIDckvI/AAAAAAAADGo/kjwOsXo8WJY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.49%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c2Hnm7YmeRM/Vi3bxX4o6zI/AAAAAAAADG0/251kKxLr5po/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.34.00%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VQJlmxAWuc/Vi3bzQDgC7I/AAAAAAAADHA/cmB9WPOWStc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.41%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--gT796GgeFU/Vi3b09zKNRI/AAAAAAAADHI/D8clm8SAV9c/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.48%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WG_8WHck3ZM/Vi3b1Ow17RI/AAAAAAAADHM/vEIW8nUMcNY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.43.07%2BAM%2B1.png)
ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
9 years ago
VijimamboYALIYOJIRI LEO KATIKA UKUMBI WA MWALIMU NYERERE YALIPOKUWA YANATANGAZWA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Matokeo ya awamu ya pili nafasi ya Urais katika majimbo 10, Magufuli aendelelea kung’ara
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Maofisa wa NEC wakiwa kwenye mkutano...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
9 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne