John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
9 years ago
GPL26 Oct
9 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xbfxZ2o0lAg/Vi3bxIDckvI/AAAAAAAADGo/kjwOsXo8WJY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.49%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c2Hnm7YmeRM/Vi3bxX4o6zI/AAAAAAAADG0/251kKxLr5po/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.34.00%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VQJlmxAWuc/Vi3bzQDgC7I/AAAAAAAADHA/cmB9WPOWStc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.41%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--gT796GgeFU/Vi3b09zKNRI/AAAAAAAADHI/D8clm8SAV9c/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.48%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WG_8WHck3ZM/Vi3b1Ow17RI/AAAAAAAADHM/vEIW8nUMcNY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.43.07%2BAM%2B1.png)
ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
9 years ago
Vijimambo27 Oct
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-z6LQdPBQj0o/VjIrrcTaCKI/AAAAAAAA018/pwR6FKs4UU8/s72-c/matokeoooo.png)
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKAZI WA WFP APONGEZA UAMUZI WA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI WA KUTOWEKA ZUIO LA KUTOKA NJE (LOCKDOWN) KATIKA KIPINDI CHA MAPAMBANO YA UGONJWA WA COVID 19
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brig. Jen. Wilbert A. Ibuge na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford wakisalimiana mara baada ya kukutana kwa mazungumzo jijini Dodoma
Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Bw. Michael Dunford ametembelea vikundi vya wakulima vinavyofadhiliwa na miradi ya Shirika hilo Kibaigwa mkoani Dodoma. Lengo la ziara hiyo ilikuwa...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais ni Dkt. John Pombe Magufuli
Ni muda mfupi uliopita baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rasmi Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli aliyepata 58.46% dhidi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa 39.97%.
Modewji blog inatoa pongezi kwa Mgombea mweza Mama Samia Suluhu Hassan kwa ushindi huo.
Happy Birthday to you…. Mheshimiwa Rais uwe na siku njema ikiwa leo pia unasheherekea siku...