DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-ON64YQEAxhE/Vi3bxR6k6jI/AAAAAAAADGs/FVDt1NA7qzQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xbfxZ2o0lAg/Vi3bxIDckvI/AAAAAAAADGo/kjwOsXo8WJY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.49%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c2Hnm7YmeRM/Vi3bxX4o6zI/AAAAAAAADG0/251kKxLr5po/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.34.00%2BAM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VQJlmxAWuc/Vi3bzQDgC7I/AAAAAAAADHA/cmB9WPOWStc/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.41%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/--gT796GgeFU/Vi3b09zKNRI/AAAAAAAADHI/D8clm8SAV9c/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.42.48%2BAM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WG_8WHck3ZM/Vi3b1Ow17RI/AAAAAAAADHM/vEIW8nUMcNY/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.43.07%2BAM%2B1.png)
ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
9 years ago
Vijimambo27 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TDbADvxwnwo/Vi32wrEb_UI/AAAAAAAIC00/EZy6iFfUxpU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-26%2Bat%2B10.33.35%2BAM.png)
9 years ago
GPL26 Oct
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/lulindi.jpg)
NEC YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS KWA MAJIMBO 3
9 years ago
Habarileo28 Oct
Magufuli aongoza majimbo 88
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa kiti cha urais kesho, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza katika majimbo mengi, ambayo Tume imeyatangaza matokeo yake kuanzia juzi.
9 years ago
MichuziMATOKEO YA AWALI YA URAIS MAGUFULI ANAONGOZA DHIDI YA WAGOMBEA WENZAKE