MATOKEO RASMI YA MAJIMBO MATATU

UNGUJA-MAKUNDUCHIKUSINI UNGUJA-PAJE
MKOA-LILUNDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
10 years ago
Vijimambo
TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS






ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Mtanzania01 Sep
Majimbo matatu yawavuruga Ukawa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.
Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.
Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...