Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATOKEO RASMI YA MAJIMBO MATATU

UNGUJA-MAKUNDUCHIKUSINI UNGUJA-PAJE
MKOA-LILUNDI 

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO RASMI MAJIMBO 10



 KUPATA ZATOKEO ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza majimbo matatu ya awali ya uchaguzi leo katika Ukumbi wa Mwalimu nyerere ambayo ni Paje, Makunduchi pamoja na Lulindi








ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA

 

10 years ago

Mtanzania

Majimbo matatu yawavuruga Ukawa

kahangwaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.

Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.

Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani