Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majimbo matatu yawavuruga Ukawa

kahangwaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.

Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.

Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Majimbo yawavuruga Ukawa

NA JONAS MUSHI NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

HALI si shwari ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuibuka na madai kuwa kuna vyama washirika vinavuruga umoja huo, na kwamba chama chao kinaweza kufa baada ya uchaguzi mkuu.

Ukawa ni umoja unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD ambavyo vimekubaliana kuungana katika uchaguzi mkuu na kusimamisha mgombea mmoja kwenye urais, ubunge na udiwani.

Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa...

 

9 years ago

Michuzi

MATOKEO RASMI YA MAJIMBO MATATU

UNGUJA-MAKUNDUCHIKUSINI UNGUJA-PAJE
MKOA-LILUNDI 

 

9 years ago

Habarileo

Chadema yatwaa majimbo matatu, CCM manne

Mchuano mkali wa kuwania majimbo 266 ya Tanzania unaonekana ukiwa kati ya chama tawala, CCM na Chadema ambapo hadi mchana huu CCM ilikuwa imejikingia majimbo manne wakati Chadema ikijinyakulia majimbo matatu.

Kwa upande wa CCM, imejipatia majimbo ya Lindi Mjini, Mbinga Mjini, Mbinga Vijijini na Nanyamba wakati Chadema imejihakikishia ushindi katika majimbo ya Tarime Mjini, Tunduma na Buyungu.

Tutaendelea kukujulisha kulingana na matokeo unavyoyapata.

 

9 years ago

Mwananchi

DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA

Wakati Taifa likielekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu, ushindani wa wazi wa kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na vyama vya upinzani kupitia Ukawa unaonekana bayana.

 

9 years ago

Vijimambo

TUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWALI KWA MAJIMBO MATATU YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ametangaza majimbo matatu ya awali ya uchaguzi leo katika Ukumbi wa Mwalimu nyerere ambayo ni Paje, Makunduchi pamoja na Lulindi








ENDELEA KUTUFUATILIA IFIKAPO SAA SITA MCHANA

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wagawana Majimbo 211

ukawaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMATI maalumu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), imekamilisha kazi ya ugawaji wa majimbo 211 ambayo ni sawa na asilimia 88 kati ya majimbo yote 239, imefahamika.
Wakati hayo yakiendelea, kamati hiyo imeshindwa kuafikiana katika majimbo 28 ambayo yanasubiri uamuzi wa wenyeviti wa vyama vinavyounda Ukawa, ambao watamaliza kiporo hicho mwezi huu.
Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi wa juu wa umoja huo, kutangaza mkakati wa kusimamisha mgombea mmoja wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo matano yavuruga Ukawa

Siku chache baada ya vyama vinavyounda Ukawa kutangaza mgawanyo wa majimbo, baadhi ya majimbo hayo yamekumbwa na sintofahamu baada ya wanachama kutokubaliana na uamuzi ya viongozi wa kuachiana majimbo.

 

9 years ago

GPL

MGAWANYO RASMI WA MAJIMBO YA UKAWA

Mara
Rorya CDM
Tarime Mjini CDM
Tarime Vijijini CDM
Musoma Vijijini CDM
Butiama CDM
Bunda Mjini CDM
Mwibara CDM
Musoma Mjini CDM
Bunda Vijijini CDM
Simiyu
Bariadi CDM
Maswa magharibi CDM
Maswa mashariki CDM
Kisesa CDM
Meatu CDM
Itilima CDM
Busega CUF
Shinyanga
Msalala CDM
Kahama Mjini CDM
Kahama Vijijini CDM
Shinyanga Mjini CDM
Kishapu CDM
Ushetu CDM
Mwanza
Ukerewe CDM
Magu CDM
Nyamagana CDM
Kwimba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani