MGAWANYO RASMI WA MAJIMBO YA UKAWA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ukawa-1024x680.jpg)
Mara Rorya CDM Tarime Mjini CDM Tarime Vijijini CDM Musoma Vijijini CDM Butiama CDM Bunda Mjini CDM Mwibara CDM Musoma Mjini CDM Bunda Vijijini CDM Simiyu Bariadi CDM Maswa magharibi CDM Maswa mashariki CDM Kisesa CDM Meatu CDM Itilima CDM Busega CUF Shinyanga Msalala CDM Kahama Mjini CDM Kahama Vijijini CDM Shinyanga Mjini CDM Kishapu CDM Ushetu CDM Mwanza Ukerewe CDM Magu CDM Nyamagana CDM Kwimba...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mgawanyo wa majimbo waibeba Chadema
UMOJA wa vyama vinne vya upinzani (Ukawa), umetoa rasmi mgawanyo wake wa majimbo ya ubunge kwa upande wa Tanzania Bara, baada ya kukubaliana, ambapo Chadema kimeongoza kwa kuwa na majimbo mengi kuliko vyama vingine.
10 years ago
Mwananchi24 May
Mgawanyo wa majimbo Kinondoni wazua mtafaruku
10 years ago
Habarileo21 Sep
Mgawanyo wa halmashauri kuzaa majimbo ya uchaguzi
WILAYA ya Kahama huenda ikapata jimbo jipya la uchaguzi kutokana na kuonekana kuna mwingiliano na utata mkubwa katika usimamizi wa uchaguzi katika baadhi ya kata baada ya kugawanywa kwa halmashauri tatu hivi karibuni ndani ya majimbo mawili ya uchaguzi.
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Majimbo yawavuruga Ukawa
NA JONAS MUSHI NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
HALI si shwari ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuibuka na madai kuwa kuna vyama washirika vinavuruga umoja huo, na kwamba chama chao kinaweza kufa baada ya uchaguzi mkuu.
Ukawa ni umoja unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD ambavyo vimekubaliana kuungana katika uchaguzi mkuu na kusimamisha mgombea mmoja kwenye urais, ubunge na udiwani.
Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yQR0rXYfTbY/Vi5zlVYXsxI/AAAAAAAIC6M/YKN_UqtPFAs/s72-c/BUMBULI.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s72-c/MMGL0364.jpg)
LOWASSA AJIUNGA RASMI NA UKAWA,AKABIDHIWA KADI RASMI YA UANACHAMA CHADEMA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-NzDUNNjpKqY/VbeGAw9myPI/AAAAAAAHsPs/9QD2Sc7U3w8/s640/MMGL0364.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGeeL3rFur8/VbeGAAXFM8I/AAAAAAAHsPo/64cudQzmg4Q/s640/MMGL0367.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bt3gbl_fezs/VbeGCDcfo-I/AAAAAAAHsQA/fXpkbv2ToMo/s640/MMGL0450.jpg)
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Majimbo matatu yawavuruga Ukawa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.
Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.
Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Majimbo matano yavuruga Ukawa
9 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM, Ukawa waporana majimbo