Magufuli aongoza majimbo 88
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa kiti cha urais kesho, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza katika majimbo mengi, ambayo Tume imeyatangaza matokeo yake kuanzia juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Michuzi26 Sep
CCM YARUSHA JESHI LA ANGA, MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3XPbfxgGPjLoxBgmUDThDeE64c-86g5k-pr9X_F8rBFsbxte3Abm1IKK15XnfGwaphluQ5u8Xgwq-YMfGpjHSpTSJbl-iNpf3J9kEGvkt8fQX8Okbt-jaIfp-jl3gS_zSDBfuFXD-tsfmHzjDx0UIzDaQT0Ld06oUAfEFM_nTrZsD5pDrj88VDt-63Kh6WG0LFFvDg58Ztur50pbt5Nq5E3_NZ9tqMDRIkumA9csCNuHwQjk=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aeAE77CPZs5OzcMHun31JHDuzzleY8LYk2TMA8oKqeqJiSft-aEJ5OhuDkTTvOM0W5hmivYMJY4MMx2D1c_WHQqIJLtFrGVCJGGDiuL42YdUmynA3_bFqxNY7MVil8klRKN3jVduKxAUh30RBDz22zba7ggM44KYv6iiHwteTpteStzCB4Gcp1dA3WwIl02WSF_QS5YD5qdgX5BwejLghSWxOkuuLLdd1LDufDMLYY-rqIKOrFU=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12037964_10206746686418802_2616894233099586072_n.jpg?oh=a0f1c900ad60d747d56d5b5c8b0b0035&oe=5698AA82)
9 years ago
Vijimambo25 Sep
TASWIRA,CCM YARUSHA JESHI LA ANGA,MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA HII LEO
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/12063471_429450910590476_8674893649040548460_n.jpg?oh=c9ad8950c50c04cbfae8a3b3818b3995&oe=5697AE36&__gda__=1452211236_053baea979e5f92f0482cd364ee25502)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11174936_429450847257149_4973483893161465795_n.jpg?oh=8989b142cbe2bd76766f5be66b77ef1f&oe=569D80DA&__gda__=1453725104_bb913dedeb9c8b82b9123c17fc5993e7)
9 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Dk. Magufuli aongoza
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo 26, yakionyesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli anaongoza akifuatiwa na Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.
Matokeo hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva kutoka kituo kikuu cha kutangazia matokeo kilichopo katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Dk Magufuli aongoza utafiti Ipsos
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Magufuli aongoza matokeo ya awal
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Matokeo ya awamu ya pili nafasi ya Urais katika majimbo 10, Magufuli aendelelea kung’ara
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari na waangalizi wa kimataifa wakati akitangaza matokeo ya awali ya urais Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa wakiwa kwenye mkutano huo wa kutangazwa matokeo ya awali.
Maofisa wa NEC wakiwa kwenye mkutano...