Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aongoza matokeo ya awal

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jioni hii imeendelea kutoa matokeo ya awali ya urais katika majimbo 13 ambapo mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza kwa majimbo tisa wakati Mgombea wa Chadema, Edward Lowassa anaongoza majimbo manne.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo matatu yaliyokamilisha mchakato huo mpaka jana asubuhi.

 

9 years ago

Dewji Blog

John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais

Jaji

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi,  Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.

Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa.
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.

Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Habarileo

Msichana aongoza matokeo kidato 4

Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles MsondeMATOKEO ya Mtihani wa Taifa wa Kumaliza Elimu ya Sekondari uliofanyika mwaka jana, yametangazwa huku msichana wa shule ya Baobao iliyoko mkoani Pwani akiongoza kwa ufaulu.

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Magufuli aongoza

johnNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo 26, yakionyesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli anaongoza akifuatiwa na Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.

Matokeo hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva kutoka kituo kikuu cha kutangazia matokeo kilichopo katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aongoza majimbo 88

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa kiti cha urais kesho, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza katika majimbo mengi, ambayo Tume imeyatangaza matokeo yake kuanzia juzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aongoza utafiti Ipsos

Kampuni ya Ipsos jana ilitangaza matokeo ya utafiti wake wa hali ya kisiasa unaoonyesha kuwa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli angeshinda kwa asilimia 62 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika Septemba, huku mgombea wa Chadema, Edward Lowassa akipata asilimia 31.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi

Raia nchini Tanzania wameungana na maafisa wa serikali kuitikia wito wa Rais John Magufuli wa kutumia Siku ya Uhuru kufanya usafi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani