Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi

Raia nchini Tanzania wameungana na maafisa wa serikali kuitikia wito wa Rais John Magufuli wa kutumia Siku ya Uhuru kufanya usafi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Rais Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi

Pg 1NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli jana aliwaongoza Watanzania kote nchini kutumia siku ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika kufanya usafi katika maeneo ya soko la Feri jijini Dar es Salaam.

Akiwahutubia wananchi wakiwamo wavuvi alioshirikiana nao katika kazi ya kufanya usafi, Dk. Magufuli aliwashukuru kwa kujitokeza na kusema kwamba hiyo ni chachu kwa wananchi wengine kujitolea kufanya usafi katika maeneo wanayoishi.

“Ni aibu kwa nchi yetu ya Tanzania...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mchechu aongoza wafanyakazi wake kufanya usafi katika majengo ya NHC

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiongoza kwa vitendo zoezi la kufanya usafi katika majengo ya NHC na maeneo yanayozunguka barabara za Ali Hassan Mwinyi, Alikhan, Barak Obama na Magore UPANGA jijini Dar es Salaam leo. Menejimenti ya NHC imeamua kuwa kufanya usafi kwenye majengo ya Shirika ili kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wa kuitumia Sikukuu ya Uhuru na Jamhuri...

 

9 years ago

Michuzi

MKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015

Mkoa wa Dodoma umeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli lililotaka kufanyika kwa usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya nchi siku ya tarehe 9 Disemba, 2015 kama mojawapo ya maadhimisho ya siku ya uhuru na kuwataka viongozi na wataalamu kusimamia utekelezaji wa agizo hilo. 
 Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania




Baadhi ya Wafanyakazi wa Airtel mkoani Songea wakifanya usafi leo katika hospitali ya wilaya ya Nzega Ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kutangaza siku ya 9 Desemba itumike kufanya usafi maeneo mbalimbali hapa nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

MODEWJIBLOG: Watanzania tuache kufanya kazi kwa Mazoea, Rais Dk.Magufuli tembelea na huku!

mg1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipotembelea kwa mara ya kwanza Wizara ya Fedha, safari ambayo ilikuwa ni ya ghafla.

Na. Andrew Chale, Modewjiblog

[TANZANIA] Kwa sasa kila zungumzo la Mtanzania ni juu ya safari za kushtukiza za Rais wa awamu ya tano, Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli ambaye ameacha gumzo kwa kuanza kwa kishindo na dhana yake ya ‘Hapa Kazi Tu’!.. Kwa kutuonjesha tu,  ametembelea Wizara ya Fedha safari ya kushtukiza na kuamsha hali ya utendaji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanawake wamuunga mkono JPM kufanya usafi

Wanawake kutoka vyama vya siasa na wanaharakati waeitikia wito wa Rais John Magufuli kwa kujitokeza kufanya usafi kwenye Soko la Mabibo la jijini hapa.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA AFRIKA KUSINI ASHIRIKI KUFANYA USAFI MHIMBILI

 Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani