BALOZI WA AFRIKA KUSINI ASHIRIKI KUFANYA USAFI MHIMBILI
Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.
Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI ASHIRIKI KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA NA WAKAZI WA MIKOCHENI B
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s72-c/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MHESHIMIWA FREEMAN MBOWE ASHIRIKI KUFANYA USAFI JIMBONI HAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s640/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8_DqrIh76WQ/VYiG3SkgY1I/AAAAAAAAS9E/TtRiiEFi2s8/s640/IMG_20150619_143944_1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA HUKO AFRIKA KUSINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1165.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2124.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI NA WANANCHI WA ENEO LAKE KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA, MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-UbhF3YILPdQ/VmflLuX_YgI/AAAAAAACmqo/gtxDL-dFkLc/s640/6.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki kuzoa taka na baadhi ya wananchi wakazi wa eneo lake la Oysterbay- Karume Raod, wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania kama alivyoagiza Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ambapo zoezi hilo limefanyika nchini kote hii leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yzr49bVVyqg/VmflMIPfw3I/AAAAAAACmqs/j_0tXVT_yzw/s640/7.jpg)
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DNRCvs-5-8Fy8hzvhZpgxUi*EWugFiKTa39Av6ShBQe7tGeMzA1egcHG*TwrUXrQkU634oKx59h5JRR3pEYgNsW90zRNZI6S/AMOUR2.jpg?width=650)
QS MHONDA J ENTERTAINMENT YAMPELEKA MSANII CHIPUKIZI KUFANYA VIDEO AFRIKA KUSINI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KIjSEo2Y10Q/U7F4y1-g3BI/AAAAAAAFtqQ/L_qPNapRl8s/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Membe amuaga rasmi Balozi wa Afrika Kusini nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-KIjSEo2Y10Q/U7F4y1-g3BI/AAAAAAAFtqQ/L_qPNapRl8s/s1600/unnamed+(30).jpg)
9 years ago
Bongo510 Oct
Ben Pol kuelekea Afrika Kusini kufanya video ya ‘Ningefanyaje’ na Justin Campos