MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA HUKO AFRIKA KUSINI
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mke wa Mfalme Mswatti wa Swaziland, muda mfupi kabla ya kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa Mkutano wa 25 wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika (AU) unaofanyika Sandton International Conference Center huko Johanessburg Afrika Kusini tarehe 14.6.2015. Aliyesimama kulia ni Mke wa Rais wa Afrika Kusini Mama Tobeka Madiba Zuma.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mama Antoinette Sessou Nguesso Mke wa Rais Dennis Sessou Nguesso wa Congo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA 9 WA WAKE WA MARAIS KUHUSU KANSA HUKO NAIROBI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAMA SALMA AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA KUHUSU KANSA YA MATITI,SHINGO YA KIZAZI NA TEZI DUME
![](http://1.bp.blogspot.com/-Srh7h7cwtf0/Va1qT8H2jcI/AAAAAAAHqtA/yldXXen3rvc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ulixjj5K7DM/Va1qTxrdgqI/AAAAAAAHqtY/SeLh4JQ73sA/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Rais Kikwete ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi na Serikali za Umoja wa Afrika, Mjini Malabo, Equatorial Guinea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na ujumbe wa Tanzania kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika Mjini Malabo, Equatorial Guinea. Miongoni mwa masuala muhimu yanayotarajiwa kujadiliwa kwenye mkutano huu ni bajeti ya umoja huo na mkakati wa kukusanya maoni kutoka nchi wanachama kuhusu Afrika ifikapo mwaka 2063, ambapo umajo huu utafikisha miaka mia moja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Dkt. Jakaya Mrisho...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s72-c/AU+SUMMIT+2.jpg)
Rais Kikwete ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika,Mjini Malabo, Equatorial Guinea
![](http://4.bp.blogspot.com/-X99SgdkXXCU/U6wv7srw99I/AAAAAAAFtEU/wsqr7aNAEVg/s1600/AU+SUMMIT+2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ddvI5RjXmKE/U6wv-QQF5nI/AAAAAAAFtEg/uqR8xEfMtvg/s1600/jk2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zLJ-WRhB_-0/U6wwBIhbYSI/AAAAAAAFtEo/HbcUUEcf8O0/s1600/jk3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Rais Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
![](http://4.bp.blogspot.com/-DMrsrclh9YI/VP3SYhSfLRI/AAAAAAAHJJE/kJWwnWEuGdo/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kfNCnGnu55Y/VP3SYNYIKAI/AAAAAAAHJJA/-FdD7WDE8TQ/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
VijimamboRais Jakaya Kikwete afungua Mkutano Mkuu wa Wahasibu Wakuu nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE HUKO MSASAN