Ben Pol kuelekea Afrika Kusini kufanya video ya ‘Ningefanyaje’ na Justin Campos
Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema anatarajia kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ na muongozaji Justin Campos. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa, ameamua kuwekeza zaidi kwenye muziki wake ili apate mafanikio makubwa. “Video na-shoot kuanzia tarehe 20 na director Justin Campos South Africa,” alisema Ben Pol. “Kuna sababu kama tatu au […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Nov
Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos
![Ben na Campos2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-na-Campos2-300x194.jpg)
Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini
King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.
Kwanini kamchagua Justin Campos...
9 years ago
Bongo518 Nov
Ben Pol alipanga kufanya video mbili na Justin Compos, SA
![11925676_463374680501587_1567968702_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11925676_463374680501587_1567968702_n1-300x194.jpg)
Bep Pol amesema baada ya kumaliza salama kushoot video ya wimbo wake Ningefanyaje na Justin Campos nchini Afrika Kusini alikuwa na mpango wa kufanya video ya pili.
Akizungumza na Bongo5 leo, Ben Pol amesema video nyingine ilikuwa ni kwaajili ya wimbo wake na Nameless.
“Tulitakiwa ku-shoot video mbili lakini kuna mambo yameingiliana, ni kwa ajili ya ule wimbo ambao nimefanya na Nameless, sema yeye amekuwa busy na show za nje so tutapanga tena,” amesema Ben Pol.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo509 Nov
BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)
![11925676_463374680501587_1567968702_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11925676_463374680501587_1567968702_n-300x194.jpg)
Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake
Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake
Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.
Timu nzima...
9 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Ben Pol ft. Avril & Rossie M – Ningefanyaje
![Untitled_13.5.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Untitled_13.5.1-300x194.jpg)
Hatimaye Ben Pol ameachia video yake mpya ya ‘Ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M. Hii ndio video ya kwanza kwa Ben kufanya na director wa nje kwa kutumia location ya nje ya Tanzania. Imeshutiwa Afrika Kusini na kuongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo512 Nov
Ben Pol: Nafikiria kuzindua video ya ‘Ningefanyaje’ Bongo au Kenya
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Baada ya Ben Pol kukamilisha zoezi la kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ nchini Afrika Kusini, kitu kinachosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake kwa sasa ni kuiona video hiyo.
Hit maker wa ‘Sophia’ ambaye amerejea nchini jana (Nov.11) ameiambia Bongo5 kuwa amepanga kuitoa video hiyo mwezi ujao (Dec) lakini bado hajawa na uhakika wa asilimia 100 kutokana na mipango mingine anayoifikiria.
“Kusema kweli mimi naikimbiza itoke mwaka huu kwasababu mwakani nina project zingine inabidi na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iuUdNwR06BE/default.jpg)