Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos
Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini
King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.
Kwanini kamchagua Justin Campos...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Oct
Ben Pol kuelekea Afrika Kusini kufanya video ya ‘Ningefanyaje’ na Justin Campos
9 years ago
Bongo525 Nov
Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice
Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.
Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...
9 years ago
Bongo527 Oct
Chege atua South kushoot video na Justin Campos
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Bongo510 Dec
Shilole kumfuata Justin Campos South kushoot video ya ‘Nyan’ganyan’ga’
![12317646_433491596836445_505233921_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12317646_433491596836445_505233921_n-300x194.jpg)
Shilole anatarajia kusafiri kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ‘Nyan’ganyan’ga’ na Justin Campos.
Shishi ameiambia Bongo5 kuwa wiki ijayo atasafiri kwaajili ya kwenda kufanya kazi hiyo.
“Nashukuru Mungu ngoma yangu (Nyan’ganyan’ga) inafanya vizuri katika media mbalimbali. Hapa ninavyoongea nipo kwenye maandalizi ya kwenda kufanya video Afrika Kusini. Video nafanya na Justin Campos na maandalizi yapo tayari wiki ijayo nitasafiri,” amesema Shilole.
Hata hivyo Shilole...
9 years ago
Bongo509 Nov
BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)
![11925676_463374680501587_1567968702_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11925676_463374680501587_1567968702_n-300x194.jpg)
Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake
Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake
Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.
Timu nzima...
10 years ago
Bongo516 Feb
Ben Pol kushoot video ya ‘Sophia’ Dodoma
9 years ago
Bongo518 Nov
Ben Pol alipanga kufanya video mbili na Justin Compos, SA
![11925676_463374680501587_1567968702_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11925676_463374680501587_1567968702_n1-300x194.jpg)
Bep Pol amesema baada ya kumaliza salama kushoot video ya wimbo wake Ningefanyaje na Justin Campos nchini Afrika Kusini alikuwa na mpango wa kufanya video ya pili.
Akizungumza na Bongo5 leo, Ben Pol amesema video nyingine ilikuwa ni kwaajili ya wimbo wake na Nameless.
“Tulitakiwa ku-shoot video mbili lakini kuna mambo yameingiliana, ni kwa ajili ya ule wimbo ambao nimefanya na Nameless, sema yeye amekuwa busy na show za nje so tutapanga tena,” amesema Ben Pol.
Jiunge na Bongo5.com...