Ben Pol kushoot video ya ‘Sophia’ Dodoma
Ben Pol ataifanyia video ya wimbo wake ‘Sophia’ mjini Dodoma. Akiongea na 255 ya Clouds FM, Ben amesema shughuli hiyo itaanza hivi karibuni. “Video ya wimbo wa Sophia nitaifanyia mkoani Dodoma kwakuwa uamuzi huo unatoka na ujumbe ambao uko kwenye wimbo huo ambao unahitaji mazingira ya uhalisia zaidi yanayopatikana mkoani humo,” alisema. “Kila kitu kipo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL21 Apr
10 years ago
CloudsFM13 Apr
Ben Pol kuzindua video ya Sophia Jumapili hii
![](http://api.ning.com/files/v6wcuBb1nvuV*qmX9Ct4kZxFxz0nIgRF8URopcMrKnIZWjBWsDy8O0c820JHgrnLnydGKFA5lKIBEQrEUBZh7RjltFpxdY24/ben.jpg)
‘’Video itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye big screens na kutakuwa na perfomances kutoka kwa wasanii mbalimbali uwapendao,’’alisema Ben Pol.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/81i3dybXK8U/default.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos
![Ben na Campos2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-na-Campos2-300x194.jpg)
Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini
King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.
Kwanini kamchagua Justin Campos...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/kllm5XU0wKs/default.jpg)
10 years ago
Bongo528 Jan
Ben Pol adai mapokezi ya Sophia yamemtisha kiasi cha kuifumua idea ya mwanzo ya video
10 years ago
Bongo515 Jan
New Music: Ben Pol — Sophia
9 years ago
MillardAyo19 Dec
2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)
Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]
The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...