Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ben Pol: Nafikiria kuzindua video ya ‘Ningefanyaje’ Bongo au Kenya

Ben SA-1

Baada ya Ben Pol kukamilisha zoezi la kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ nchini Afrika Kusini, kitu kinachosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake kwa sasa ni kuiona video hiyo.

Ben SA-1

Hit maker wa ‘Sophia’ ambaye amerejea nchini jana (Nov.11) ameiambia Bongo5 kuwa amepanga kuitoa video hiyo mwezi ujao (Dec) lakini bado hajawa na uhakika wa asilimia 100 kutokana na mipango mingine anayoifikiria.

“Kusema kweli mimi naikimbiza itoke mwaka huu kwasababu mwakani nina project zingine inabidi na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: BEN POL ft. AVRIL & ROSSIE M - NINGEFANYAJE (Official Video)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Ben Pol ft. Avril & Rossie M – Ningefanyaje

Untitled_13.5.1

Hatimaye Ben Pol ameachia video yake mpya ya ‘Ningefanyaje’ aliyowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M. Hii ndio video ya kwanza kwa Ben kufanya na director wa nje kwa kutumia location ya nje ya Tanzania. Imeshutiwa Afrika Kusini na kuongozwa na Justin Campos wa Gorilla Films.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ben Pol, Avril na Rossie M wakiongelea wimbo wao ‘Ningefanyaje’

Ben Pol, Avril na Rossie M waliotoa wimbo wa pamoja hivi karibuni walitutembelea kwenye studio zetu kuzungumza kuhusiana na wimbo huo uitwao ‘Ningefanyaje.’ Tazama mahojiano hayo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol kuelekea Afrika Kusini kufanya video ya ‘Ningefanyaje’ na Justin Campos

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema anatarajia kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ na muongozaji Justin Campos. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa, ameamua kuwekeza zaidi kwenye muziki wake ili apate mafanikio makubwa. “Video na-shoot kuanzia tarehe 20 na director Justin Campos South Africa,” alisema Ben Pol. “Kuna sababu kama tatu au […]

 

9 years ago

Michuzi

MSANII BEN POL AELEZA SABABU ZILIZOPELEKEA AVRIL KUTOONEKANA KWENYE VIDEO YA 'NINGEFANYAJE'

Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake - ‘NINGEFANYAJE’, muimbaji wa R&B kutoka Tanzania, Bernard Paul  maarufu kama Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji  Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo,  kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M  ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...

 

10 years ago

CloudsFM

Ben Pol kuzindua video ya Sophia Jumapili hii

Mkali wa Bongo Fleva,Ben Pol anatarajia kuzindua video ya ngoma yake ya Sophia Jumapili hii pande za Maisha Club,jijini Dar.Video hiyo imefanyika mkoani Dodoma chini ya producer Khalfan imeshakamilika kwa kiasi kikubwa.
‘’Video itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye big screens na kutakuwa na perfomances kutoka kwa wasanii mbalimbali uwapendao,’’alisema Ben Pol.

 

9 years ago

Vijimambo

NINGEFANYAJE-BEN POL FT AVRIL

The undisputed Tanzania's King of RnB is back with a Brand new RnB Ballad called Ningefanyaje to be release 24th September, 2015. This song features Kenya’s Sweetheart Avril and Tanzania’s upcoming songbird Rossie M. This project is produced by Mswaki.

Ben Pol has taken part in Coke Studio Season 3 which will be aired on 10th October, 2015 and Ningefanyaje is among the songs he performs with a live band of Coke Studio in Nairobi, Kenya. On Coke Studio Ben Pol is paired and collaborated with...

 

9 years ago

MillardAyo

2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video)

Mkali wa R&B kutoka Bongo TZ, Ben Pol anafunga mwaka 2015 huku akiacha kumbukumbu nzuri za headlines za hit ya ngoma ya ‘Sophia‘ ambayo imependwa na bado inapendwa na wengi… ukali wa ngoma hiyo ulifanya akina Quick Rocka, Peter Msechu nao kuingia studio kuiimbia copy ya aina yake, hicho ni kitu ambacho sio mara nyingi […]

The post 2015 haiishi na ‘Sophia’ hewani, mpya ni hii..- ‘Ningefanyaje> Ben Pol Feat. Avril & Rossie M (+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani