Dk. Magufuli aongoza
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza matokeo ya awali ya urais kwa majimbo 26, yakionyesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli anaongoza akifuatiwa na Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.
Matokeo hayo yalitangazwa jijini Dar es Salaam jana kwa nyakati tofauti na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva kutoka kituo kikuu cha kutangazia matokeo kilichopo katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
Magufuli aongoza majimbo 88
WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikitarajia kutangaza mshindi wa kiti cha urais kesho, mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anaongoza katika majimbo mengi, ambayo Tume imeyatangaza matokeo yake kuanzia juzi.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Dk Magufuli aongoza utafiti Ipsos
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Magufuli aongoza matokeo ya awal
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Rais Magufuli aongoza Watanzania kufanya usafi
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli jana aliwaongoza Watanzania kote nchini kutumia siku ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika kufanya usafi katika maeneo ya soko la Feri jijini Dar es Salaam.
Akiwahutubia wananchi wakiwamo wavuvi alioshirikiana nao katika kazi ya kufanya usafi, Dk. Magufuli aliwashukuru kwa kujitokeza na kusema kwamba hiyo ni chachu kwa wananchi wengine kujitolea kufanya usafi katika maeneo wanayoishi.
“Ni aibu kwa nchi yetu ya Tanzania...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
DK Magufuli aongoza majimbo matatu kwenye matokeo ya awali
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AONGOZA SHUGHULI YA WANA CCM KUMDHAMINI MAGUFULI
9 years ago
Vijimambo27 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r3IBXnCOODw/XmYvNzeD0vI/AAAAAAAC8Kg/YB3zAJpS5gg-J80WXyrwjFCPv0wrP2TtACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
![](https://1.bp.blogspot.com/-r3IBXnCOODw/XmYvNzeD0vI/AAAAAAAC8Kg/YB3zAJpS5gg-J80WXyrwjFCPv0wrP2TtACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--SDbQ2gt8Yw/XmYvPNHfY2I/AAAAAAAC8Kk/-C-FPLvWnrIlFRR0NwthNEYMTo6VZmTgACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Machi 09, 2020. Picha na Ikulu