MAJALIWA AONGOZA SHUGHULI YA WANA CCM KUMDHAMINI MAGUFULI
Waziri Makuu, Kasim Majaliwa akishuhudia wakati wana CCM walipojitokeza kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa tena kugombea urais katika uchaguzi ujao. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Lindi , Fadhili Juma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudiwa wakati mwanachama wa CCM, Abdallah Milanzi alipotia saini fomu za kumdhamini, Rais wa Dkt. John Pombe Magufuli katika ili aweze kuteuliwa kugombee tena urais. Zoezi hilo lilifanyika kwenye...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA
RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s72-c/_MG_4845.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s640/_MG_4845.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD2hqswBcao/VcjewgLKV3I/AAAAAAAHvyk/ffKDx75Ymvs/s640/_MG_4706.jpg)
10 years ago
MichuziWANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s72-c/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s640/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9285cc7-b91f-48ed-b1fc-cca10e829e47.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eVSPenXB4v0/XvLswpt_-fI/AAAAAAALvKA/UXq_79XnpQcizgisBCC-75oXrGzhiYrPQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.07.09%2BPM.jpeg)
KATIBU UWT WILAYA YA DODOMA MJINI AONGOZA ZOEZI LA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini leo wamejitokeza kwa wingi kumdhamini Rais Dk John Magufuli katika fomu yake ya kuwania Urais kupitia chama hiko.
Zoezi hilo la ujazaji fomu limeongozwa na Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa katika uwanja wa Jamhuri ambapo jumla ya wanawake 1,000 wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli.
Akizungumza na Michuzi Blog, Katibu huyo wa UWT Dodoma Mjini, Diana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cuFqN8zL_VA/XuzCJ60I4oI/AAAAAAALupI/ZCgMpc31zZoxuik_yTlweJtHcQLc6M5eQCLcBGAsYHQ/s72-c/4.jpg)
Njombe:Vijana zaidi ya 200 watimkia ofisi za CCM kumdhamini Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-cuFqN8zL_VA/XuzCJ60I4oI/AAAAAAALupI/ZCgMpc31zZoxuik_yTlweJtHcQLc6M5eQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
Katibu wa jumuiya ya vijana UVCCM mkoa wa Njombe Ndg,Amosi Kusakula amesema mara baada ya Mgombea nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt, John Magufuli kuchukua fomu na kutangaza kutafuta...
5 years ago
CCM BlogWANACHAMA WA CCM 2688 WAJITOKEZA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI MKOA WA KUSINI UNGUJA