Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANACHAMA WA CCM 2688 WAJITOKEZA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI MKOA WA KUSINI UNGUJA

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja wajitokeza kumdhamini Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Magufuli, hafla hiyo imefanyika Dunga Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika mstari wakisubiri kumdhamini Mgombea wao.Na. Maelezo  Zanzibar 25/06/2020.Wanachama 2688 wa Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja wamejitokeza   kumdhamini mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk,John Pombe Magufuli ambae...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI

Baadhi ya Wanachama wa CCM wilayani Manyoni wakijaza fomu ya kumdhamini Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh. John Pombe Magufuli, katika kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi wa Oktoba 2020.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Mkoani Singida Ndg. Jumanne Ismail Makhanda akizungumza na baadhi ya Wanachama wa CCM wilayani Manyoni waliojitokeza...

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA 2,565 WAJITOKEZA KUMDHAMINI DKT. MAGUFULI RUANGWA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia wakati mwanachama wa CCM, Jacob Masumbuko alipotia saini fomu ya kumdhamini, Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kuteuliwa tena kugombea urais. Zoezi hilo lilifanyika kwenye Ofisi ya CCM ya wilaya ya Rungwa, Juni 21, 2020. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa LIndi, Fadhili Juma.Waziri Makuu, Kasim...

 

5 years ago

CCM Blog

WANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA

 Waziri Makuu, Kasim Majaliwa akishuhudia wakati wana CCM walipojitokeza  kujaza fomu za  kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa tena kugombea urais katika uchaguzi ujao. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Lindi , Fadhili Juma

RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...

 

10 years ago

Michuzi

WANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Nzega Mkoani Tabora.Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika Mkoa wa Shinyanga.Baadhi ya Wadhimini waliojitokeza kumdhamini Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato...

 

10 years ago

Vijimambo

MKOA WA MARA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (mwenye miwani) akilakiwa na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mara, waliofika katika Ofisi ya CCM ya mkoa huo mjini Musoma Jana, kwa ajili ya kumdhamini iliaweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 1,800 mkoani humo. Picha zote na John BadiWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...

 

10 years ago

Michuzi

MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kushoto akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika  mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM  kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro mjini Dkt. Magufuli akiangalia kwa makini zoezi la uhakiki wa Wanachama na udhamini likiendelea katika Ofisi za CCM Wilaya ya Morogoro mjini.

 Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya...

 

9 years ago

Michuzi

balozi Seif Ali Iddi atembelea msitu wa Muyuni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Dr. Bakar Ased akimueleza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar umuhimu wa eneo ya hifadhi ya Misitu la Muyuni kwa ustawi  bora ya maisha ya wananchi wa ukanda wa Kusini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akitembelea msitu wa hifadhi Muyuni kuangalia maeneo ambayo baadhi ya watu wameamua kulima kilimo chengine mchanganyiko. Kushoto ya Balozi Seif ni Waziri wa Kilimo na Maliasili Mh. Sira Ubwa Mwamboya na...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AFUTARISHA WANANCHI MKOA WA KUSINI UNGUJA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kulia) akijumuika na waislamu na Viongozi katika swala ya Magharibi katika viwanja vya Ofisi ya Uhamiaji Tunguu kabla ya futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuika na Viongozi katika futari aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja jana katika viwanja vya Ofisi ya Uhamiaji...

 

9 years ago

Michuzi

MAZIKO YA MCHUNGAJI ELIAS HUKO Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.

 WAOMBOLEZAJI wakiwa katika msiba wa mchungaji kiongozi wa Kanisa la Pentekoste la Jumbi, Elias Funga uliofanyika nyumbani kwake Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja. Waombolezaji wakiwa katika mazishi ya mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga yaliofanyika Jumbi Mkoa wa Kusini Unguja.

 ASKOFU Daniel Kwilemba kutoka Kanisa la Pefa liliopo Kisauni Unguja akiweka mchanga kwenye kaburi la mchungaji kiongozi wa Kanisa Pentekoste la Jumbi, Elias Funga, mazishi hayo yalifanyika Jumbi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani