WANACHAMA 2,565 WAJITOKEZA KUMDHAMINI DKT. MAGUFULI RUANGWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia wakati mwanachama wa CCM, Jacob Masumbuko alipotia saini fomu ya kumdhamini, Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kuteuliwa tena kugombea urais. Zoezi hilo lilifanyika kwenye Ofisi ya CCM ya wilaya ya Rungwa, Juni 21, 2020. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa LIndi, Fadhili Juma.
Waziri Makuu, Kasim...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA
RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...
5 years ago
CCM BlogWANACHAMA WA CCM 2688 WAJITOKEZA KUMDHAMINI RAIS MAGUFULI MKOA WA KUSINI UNGUJA
5 years ago
Michuzi
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI


10 years ago
Michuzi
MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI



10 years ago
MichuziWANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
10 years ago
Habarileo13 Jun
380 wajitokeza kumdhamini Membe Iringa
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amepata wadhamini 380 mkoani Iringa katika harakati zake za kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo
MWANZA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI BERNARD MEMBE


10 years ago
Michuzi
MTWARA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMNINI DKT. MAGUFULI



10 years ago
Vijimambo
MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE

