MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/--nK6gGTlrM4/VYtARSg0zLI/AAAAAAADtYc/h66fP5pkYlc/s72-c/1A.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (mwenye miwani), akilakiwa na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi waliofurika nje ya viwanja vya ofisi ya CCM ya Morogoro Mjini Juni 24.2015, wakati akitafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo wanaCCM zaidi ya 950 walimdhamini. Picha zote na John Badi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KOuhvdRBc-o/VYbBbF3pyXI/AAAAAAADtBs/UroUJq25H2M/s72-c/1.jpg)
MKOA WA MARA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-KOuhvdRBc-o/VYbBbF3pyXI/AAAAAAADtBs/UroUJq25H2M/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFrMb-DbFoY/VYbBbPHtMFI/AAAAAAADtB0/0YnA_zBMfAc/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-S-89NlP7_Ug/VYf31akfJsI/AAAAAAADtPA/FxvTge48pyA/s72-c/1.jpg)
MWANZA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI BERNARD MEMBE
![](http://4.bp.blogspot.com/-S-89NlP7_Ug/VYf31akfJsI/AAAAAAADtPA/FxvTge48pyA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1y7LmtByZkk/VYf33NteqnI/AAAAAAADtPQ/HGorF1D-TQs/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sr2BXEJmQ28/VYMHVR3Pb6I/AAAAAAAHhOU/-Wawul2RObA/s72-c/unnameda.jpg)
MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sr2BXEJmQ28/VYMHVR3Pb6I/AAAAAAAHhOU/-Wawul2RObA/s640/unnameda.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5o26U77YhV0/VYMHVUuKHII/AAAAAAAHhOI/O-jeLmmOwGQ/s640/unnamedb.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KnTeHeE-tlE/VYMHVdJZzpI/AAAAAAAHhOE/ZqQOXkONW1Y/s640/unnamedc.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s72-c/1.jpg)
WANANJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-X7SUs3mCSzU/VXkoHgUo16I/AAAAAAABhfc/DrhTbFCNXts/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWIJW_s8LWs/VXkokGPx2UI/AAAAAAABhfs/GecG_wQVNgE/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h5BEy0lDsPU/VXkoUFD6jlI/AAAAAAABhfk/A8YfeefgQos/s640/2A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FSVmZMRaklo/VXkol1r8KII/AAAAAAABhf8/oQ-xMPd8vOU/s640/2B.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s72-c/1.jpg)
NJOMBE NA IRINGA WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI MEMBE ILI AGOMBEE URAIS WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GWZ9cZO4dTg/VXlAZEDlTMI/AAAAAAADrFo/nbEIL3zR54c/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSxQWg8jxz8/VXlAan8L_6I/AAAAAAADrGI/6Yh_m_h2dD0/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s72-c/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s640/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9285cc7-b91f-48ed-b1fc-cca10e829e47.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HIhiZ_GH2FQ/VYrdHOonEbI/AAAAAAAHjkU/JT1IcPrT-x4/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE AKUTANA NA WASANII WA FILAMU MKOA WA MOROGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-HIhiZ_GH2FQ/VYrdHOonEbI/AAAAAAAHjkU/JT1IcPrT-x4/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eKN0Dmzocbw/VYrdHLEKcbI/AAAAAAAHjkY/6UO7ZMln8w0/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Jun
380 wajitokeza kumdhamini Membe Iringa
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amepata wadhamini 380 mkoani Iringa katika harakati zake za kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Wananchi wa mkoa wa Lindi wajitokeza kwa wingi usiku wa shamra shamra za “Twende na Membe”
![](http://4.bp.blogspot.com/-09pu1e-KpwU/VXOGF3JbPJI/AAAAAAABhGY/iwiaCoX5z0U/s640/IMG_1984.jpg)
Shamra shamra za kutangaza nia ya kuwania urais zaendelea kunoga mjini Lindi ambapo leo June 6 kuamkia June 7, 2015 ambapo Mheshimiwa Bernard Membe atakuwa anatangaza nia ya Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Wananchi wamejitokeza kwa wingi huku msanii mzee Yusuph na kikundi cha ngoma ya Deda wakitoa burudani ya kijadi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Byvk5GOyKag/VXOGIkYOzvI/AAAAAAABhGg/2uB3QA03ORQ/s640/IMG_1990.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mxN7gM24wqM/VXOGKLBs9zI/AAAAAAABhGo/UrPTe6QraOA/s640/IMG_1992.jpg)
Wananchi waliojitokeza katika Shamra Shamra za kumpokea kesho Mheshimiwa Bernard Membe wakati atakapotangaza nia ya Urais 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-mVtN5PbBYsA/VXOGCC0zuwI/AAAAAAABhGE/M6ALoAm5v9Q/s640/IMG_1960.jpg)
![IMG_1957](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_1957.jpg)
![IMG_2037](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_2037.jpg)
![IMG_2047](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_2047.jpg)