MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s72-c/_MG_4845.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama na wafuasi wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumpokea,Dkt Magufuli aliwashukuru wanachama hao kwa kujitokeza kwa wingi na walimuahakikishia ushindi wa kishindo na wa mapema katika uchaguzi mkuu utakaofanyika hapo baadae mwaka huu,pia amewata kuwa na umoja wa kushirikiana na kuweka kando tofauti zao kuhakikisha wanailetea CCM ushindi wa kishindo.
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini Husnain Murji akiwahutubia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3qTifbjMC2o/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s72-c/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s640/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9285cc7-b91f-48ed-b1fc-cca10e829e47.jpg)
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wana CCM wahimizana ushindi wa kishindo
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai amewataka wanachama wa chama hicho kujiandaa na hatimaye kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa marudio, ili kukiletea ushindi wa kishindo chama hicho.
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AONGOZA SHUGHULI YA WANA CCM KUMDHAMINI MAGUFULI
5 years ago
CCM BlogWANA CCM RUANGWA WAMIMINIKA KUMDHAMINI DK. MAGUFULI, 2,565 WAJITOKEZA
RUANGWA, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameongoza wanachama 314 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ruangwa, Lindi katika kujaza fomu za kumdhamini Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuteuliwa kugombea tena nafasi ya...
10 years ago
MichuziWANA CCM MKOANI SINGIDA, TABORA NA SHINYANGA WAJITOKEZA KUMDHAMINI WAZIRI MAGUFULI
9 years ago
Vijimambo11 Sep
CCM YATIKISA MUSOMA MJINI,MAGUFULI AENDELEA KUJIHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO KWA ZAIDI YA MIKOA 8
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12003009_425472354321665_2668868641474028774_n.jpg?oh=d9e066baebe2ddaff1319c7ddeb00947&oe=5675AB46)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11990648_425472380988329_5780316071103013976_n.jpg?oh=bb396ddc56e2a30a1c8b0fab76cfc0a2&oe=56A2A08F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xlf1/v/t1.0-9/11990567_425472470988320_7641578406828913137_n.jpg?oh=b19dc59c4a0586c5e9eb00ff292fe5e2&oe=566ABD72)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11259910_425472540988313_3369467793127200908_n.jpg?oh=69856fd341751b1a02818c44c7e09841&oe=567128BD)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11988216_425472637654970_2253057064190294449_n.jpg?oh=571b6133bd73526a595ba10ee0dd2c6e&oe=5670A132)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12003235_425472687654965_7502610847493873047_n.jpg?oh=797d49598fe973747931ed3eafd5bcb6&oe=566329A7)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfl1/v/t1.0-9/11987075_425472870988280_5839460239772873068_n.jpg?oh=cefb88b5820836816325fe517e759fdb&oe=56A6539A)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fj5S_Dph2yc/VchqFXXNsfI/AAAAAAAAj0o/XKKYfcXn8wk/s72-c/19.jpg)
CCM MTWARA WAUNGANA KUMHAKIKISHIA USHINDI MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj5S_Dph2yc/VchqFXXNsfI/AAAAAAAAj0o/XKKYfcXn8wk/s640/19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJgONNTFyVw/VchqKXIBa-I/AAAAAAAAj0w/KWn0gcaNceI/s640/18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EvOKW4PgOY8/VchqWvaKdRI/AAAAAAAAj04/U4Pyr8V0c34/s640/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q4dWw4H10TY/VchqfEoXKYI/AAAAAAAAj1A/YJipD5RBdX4/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10