CCM MTWARA WAUNGANA KUMHAKIKISHIA USHINDI MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-fj5S_Dph2yc/VchqFXXNsfI/AAAAAAAAj0o/XKKYfcXn8wk/s72-c/19.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimia wanachama wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsalimia kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akizungumza na wana CCM wa mkoa wa Mtwara nje ya ofisi za CCM mkoa.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wana CCM wa mkoa wa Mtwara nje ya Ofisi ya CCM mkoa na kuwataka wana CCM kuwa kitu kimoja na kuimarisha Chama.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s72-c/_MG_4845.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WANA CCM WA MTWARA KWA KUMDHAMINI,WAMUHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iglmw3gchdM/VcjfEU8qM3I/AAAAAAAHvy8/tmnRTsen1iA/s640/_MG_4845.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD2hqswBcao/VcjewgLKV3I/AAAAAAAHvyk/ffKDx75Ymvs/s640/_MG_4706.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI AWAPONGEZA CCM CHATO KWA USHINDI MKUBWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
9 years ago
Vijimambo11 Sep
CCM YATIKISA MUSOMA MJINI,MAGUFULI AENDELEA KUJIHAKIKISHIA USHINDI WA KISHINDO KWA ZAIDI YA MIKOA 8
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12003009_425472354321665_2668868641474028774_n.jpg?oh=d9e066baebe2ddaff1319c7ddeb00947&oe=5675AB46)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/11990648_425472380988329_5780316071103013976_n.jpg?oh=bb396ddc56e2a30a1c8b0fab76cfc0a2&oe=56A2A08F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xlf1/v/t1.0-9/11990567_425472470988320_7641578406828913137_n.jpg?oh=b19dc59c4a0586c5e9eb00ff292fe5e2&oe=566ABD72)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11259910_425472540988313_3369467793127200908_n.jpg?oh=69856fd341751b1a02818c44c7e09841&oe=567128BD)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11988216_425472637654970_2253057064190294449_n.jpg?oh=571b6133bd73526a595ba10ee0dd2c6e&oe=5670A132)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12003235_425472687654965_7502610847493873047_n.jpg?oh=797d49598fe973747931ed3eafd5bcb6&oe=566329A7)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfl1/v/t1.0-9/11987075_425472870988280_5839460239772873068_n.jpg?oh=cefb88b5820836816325fe517e759fdb&oe=56A6539A)
9 years ago
CCM Blog03 Nov
TAWI LA CCM EMPRESS KWA MUSA MTAA WA SAMORA WASHEREHEKEA USHINDI WA DK. JOHN POMBE MAGUFULI.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/11.jpg)
MBUNGE mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Charles Mwijage akisalimiana na Godson Kaligo Mjumbe wa tawi la CCM Epress Social lililopo mtaa wa Samora maarufu kwa Musa Shoeshine alipowatembelea wakati wa sherehe yao ya kusherehekea ushindi wa Rais Mteule Dr. John Pombe Magufuli mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote, Wana CCM hao wamesherehekea kwa muziki na kupata supu ya mbuzi na nyama choma huku...
9 years ago
Michuzi02 Nov
TAWI LA CCM EMPRESS KWA FUNDI MUSA MTAA WA SAMORA WASHEREHEKEA USHINDI WA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/11.jpg)
MBUNGE mteule wa Muleba Kaskazini (CCM) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Charles Mwijage akisalimiana na Godson Kaligo Mjumbe wa tawi la CCM Epress Social lililopo mtaa wa Samora maarufu kwa Musa Shoeshine alipowatembelea wakati wa sherehe yao ya kusherehekea ushindi wa Rais Mteule Dr. John Pombe Magufuli mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote, Wana CCM hao wamesherehekea kwa muziki na kupata supu ya mbuzi na nyama choma huku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s72-c/IMG-20150712-WA0138.jpg)
MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s640/IMG-20150712-WA0138.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha
MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko
Paul Sarwatt
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
TZ:Upinzani waungana dhidi ya CCM