Mahasimu wa Sudan Kusini wakutana tena
Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yameanza tena katika nchi jirani ya Ethiopia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
UN: Mahasimu Sudan Kusini wanahodhi silaha
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeshutumu serikali na waasi nchini Sudan Kusini kwa kuendelea kuhodhi silaha na kukiuka mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Agosti.
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
JK kuwakutanisha mahasimu Sudan Kusini leo
RAIS Jakaya Kikwete leo amewaalika viongozi wakuu wa makundi yanayopingana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar katika meza ya mazungumzo jijini hapa. Mualiko huo umekuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s640/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
Utekelezwaji wa mkataba wa amani kwa Sudan Kusini ni jambo ambalo limeyumbisha nchi hiyo kwa miaka.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mahasimu India na Pakistan wakutana
Mkutano kati ya mataifa jirani na hasimu yaani India na Pakistan umefanyika baada ya kuahirishwa kwa zaidi ya miezi minne kufuatia kuzorota kwa uhusiano
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 May
Vita vyazuka tena Sudan Kusini
Pande zote katika mzozo wa Sudan Kusini zalaumiana kwa kuibuka upya kwa vita
11 years ago
BBCSwahili05 May
Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini
Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania