Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita vyazuka tena Sudan Kusini

Pande zote katika mzozo wa Sudan Kusini zalaumiana kwa kuibuka upya kwa vita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita vyazuka tena Malakal, Sudan.K

Mapigano yameripotiwa kuzuka Sudan Kusini kwa mara ya kwanza tangu serikali na waasi kutia saini makubaliano ya kusitisha vita mwezi Januari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita vipya vyazuka nchini Suda Kusini

Vita vimezuka nchini Sudan kusini ,siku chache tu baada ya umoja wa mataifa kuonya kuwawekea vikwazo viongozi wa pande husika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita vikali vyazuka Yemen

Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: Vita visitishwe Sudan Kusini

Mkuu wa vikosi vya kulinda amani vya UN, Sudan Kusini, ametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini itakubali kusitisha vita?

Mazungumzo ya kusitisha vita ambavyo vimekuwa vikitokota Sudan Kusini kwa karibu wiki tatu yameanza mjini Addis Ababa Ethiopia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini

Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yasihi Sudan Kusini kuacha vita

Ban Ki-moon awaomba viongozi wa Sudan Kusini kuacha kupigana

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakubaliana kusitisha vita Sudan Kusini

Rais wa Sudan kusini Salva Kiir na kiongozi wa waasi nchini humo Riek Machar waingia katika mkataba wa kustisha vita.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani