Vita vipya vyazuka nchini Suda Kusini
Vita vimezuka nchini Sudan kusini ,siku chache tu baada ya umoja wa mataifa kuonya kuwawekea vikwazo viongozi wa pande husika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 May
Vita vyazuka tena Sudan Kusini
Pande zote katika mzozo wa Sudan Kusini zalaumiana kwa kuibuka upya kwa vita
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Vita vikali vyazuka Yemen
Ripoti kutoka Yemen zinasema kuwa kumekuwa na vita vikali kati ya jeshi la taifa hilo na waasi wa ki-shia kazkazini mwa taifa
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Vita vyazuka tena Malakal, Sudan.K
Mapigano yameripotiwa kuzuka Sudan Kusini kwa mara ya kwanza tangu serikali na waasi kutia saini makubaliano ya kusitisha vita mwezi Januari.
10 years ago
Habarileo22 Jun
Vita Sudan Kusini yazuia ajira kwa walimu nchini
SERIKALI imesema haiwezi kupeleka walimu nchini Sudan Kusini licha ya kuwa na soko kubwa la walimu kutokana na hali tete ya usalama nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Vita vipya kuangamiza ufisadi Kenya
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua mpango mpya wa kupambana na ufisadi katika nchi ambayo ufisadi ni jinamizi kubwa
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Vita vipya dhidi ya waasi wa FDLR
Serikali ya Angola inasema kuwa uamuzi umechukuliwa na mataifa ya Afrika kuingilia kijeshi harakati za waasi wa FDLR kutenda uhalifu Mashariki mwa Congo.
10 years ago
MichuziJUST IN: TRL YAPOKEA Vichwa vya treni vipya viwili kutoka Afrika Kusini
Vichwa viwili kati ya vichwa 13 vya treni vilivyonunuliwa na TRL
Machi 21, 2015 tumeshuhudia tukio muhimu sana kwa TRL kupokea sehemu ya vichwa vipya vya treni vilivyoagizwa kutoka nje ya Nchi. Tumepokea vichwa viwili (2) kati ya vichwa kumi na tatu (13) vya treni vilivyonunuliwa na TRL kupitia bajeti ya Serikali.
Vichwa hivi vimetengenezwa kupitia mkataba kati ya TRL na Kampuni ya EMD ya Marekani. Utengenezaji wa vichwa hivi vya treni umefanyika na Kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.
Ununuzi...
Machi 21, 2015 tumeshuhudia tukio muhimu sana kwa TRL kupokea sehemu ya vichwa vipya vya treni vilivyoagizwa kutoka nje ya Nchi. Tumepokea vichwa viwili (2) kati ya vichwa kumi na tatu (13) vya treni vilivyonunuliwa na TRL kupitia bajeti ya Serikali.
Vichwa hivi vimetengenezwa kupitia mkataba kati ya TRL na Kampuni ya EMD ya Marekani. Utengenezaji wa vichwa hivi vya treni umefanyika na Kampuni ya DCD ya Afrika Kusini.
Ununuzi...
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
UN: Hatujahusika na vita S. Kusini
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, amekosoa kikosi cha UN cha kulinda amani nchini humo UNMISS kwa kujihusisha na vita vya nchi hiyo madai ambayo UN imekanusha.
10 years ago
Michuzi24 Sep
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania