Mahasimu waombwa kuruhusu misaada S Kusini
Mashirika ya misaada yanayofanyia kazi nchini Sudan kusini yamezitaka pande zinazohasimiana nchini humo kuruhusu misaada
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
UN: Mahasimu Sudan Kusini wanahodhi silaha
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeshutumu serikali na waasi nchini Sudan Kusini kwa kuendelea kuhodhi silaha na kukiuka mkataba wa amani uliotiwa saini mwezi Agosti.
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mahasimu wa Sudan Kusini wakutana tena
Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yameanza tena katika nchi jirani ya Ethiopia.
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
JK kuwakutanisha mahasimu Sudan Kusini leo
RAIS Jakaya Kikwete leo amewaalika viongozi wakuu wa makundi yanayopingana nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na hasimu wake Riek Machar katika meza ya mazungumzo jijini hapa. Mualiko huo umekuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Mahasimu wa kisiasa Sudan Kusini waahidi kuunda serikali ya pamoja
![](https://1.bp.blogspot.com/-XTU8k3Nx5eI/Xk9v_V1-JKI/AAAAAAALepU/dXcAM6RYuec7Gi2S39TzU1WB68wmAudjQCLcBGAsYHQ/s640/4bpqc08a6230d416ry7_800C450.jpg)
Wawili hao walitangaza hayo jana Alkhamisi, baada ya kambi hasimu wanazoziongoza kuhitalifiana kuhusu idadi ya majimbo ya nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.
Waasi nchini Sudan Kusini walipinga pendekezo la Rais Salva Kiir ambalo lingeipelekea nchi hiyo kurejea katika idadi ya awali...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mahasimu wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kugawana madaraka, hii ina maana gani?
Utekelezwaji wa mkataba wa amani kwa Sudan Kusini ni jambo ambalo limeyumbisha nchi hiyo kwa miaka.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Mahasimu walivyopepetana Scotland
Kabla ya uamuzi wa kujitega na au kusalia Uingereza, waskochi walifanya kampeini zenye hekaheka kubwa kila mwambangoma akivuta kwake.
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
IGAD kupatanisha mahasimu Sudan.K
Viongozi wa IGAD wanakutana kwa kikao maalum mjini Adis Ababa nchini Ethiopia kujadili mzozo wa kisiasa unaokumba taifa la Sudan Kusini.
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Mahasimu India na Pakistan wakutana
Mkutano kati ya mataifa jirani na hasimu yaani India na Pakistan umefanyika baada ya kuahirishwa kwa zaidi ya miezi minne kufuatia kuzorota kwa uhusiano
11 years ago
BBCSwahili25 Jan
Mahasimu wa Syria kukutana Geneva
Waakilishi wa serikali ya Syria leo watakutana kwa mara ya kwanza katika chumba kimoja katika mkutano unaoendelea Geneva
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania