HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-fBIV3Lat0BA/VWnp0oXddHI/AAAAAAAHa3I/HMe2FmWEuBI/s72-c/MMGL3054.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-fBIV3Lat0BA/VWnp0oXddHI/AAAAAAAHa3I/HMe2FmWEuBI/s640/MMGL3054.jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WAKUTANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ahutubia wananchi kwenye Mkutano wa hadhara, wakati akitangaza nia yake ya kuwania Urais wa Awamu wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM.
HOTUBA YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA (Mb) KWENYE MKUTANO WA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM UTANGULIZI: Ndugu viongozi, wana-CCM na Watanzania wenzangu; Kwanza nianze...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
EDWARD LOWASSA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGfCm4-z__I/VWniRuyE-7I/AAAAAAAHay4/WjUvF_HATeU/s640/MMGL2479.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4VsWZIs0BQg/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-npwbUKom_a0/ViW2jJQf9mI/AAAAAAAAWrI/ufhK6pnVHIk/s72-c/12112210_1044600588926118_2943242378101015355_n.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/c8adcYnIulQ/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw-g4gpNLXc/VimHFBC_T_I/AAAAAAAAWw4/nY-XjDgsb88/s72-c/OTH_8454.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S514UVXoyWM/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-LJSP0p8dKjo/VjKmw_8k3vI/AAAAAAAAXA8/KT23tWMkako/s72-c/tamko.jpg)
TAMKO LA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA YA KUITAKA TUME IMTANGAZE MSHINDI WA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Watanzania wenzangu!
Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Tumeainisha kwenye malalamiko yetu, kutokuridhishwa kwetu na mwenendo na matukio mbalimbali, hususani, utangazaji wa matokeo batili, yasiyo akisi matokeo halisi
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania