Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msindai atetewa kuhusu Lowassa

MMOJA wa wanaharakati mkoani Tabora, Elisha Poneja, amemuunga mkono Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgana Msindai, kuhusu kauli yake dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Msindai...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AZUA SINTOFAHAMU BAADA YA KUSEMA CCM OYEE KWENYE MKUTANO WA UKAWA MSINDAI NAE NI KAMA LOWASSA JITIRIRIKIE MWENYEWE

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kulia) akimkabidhi kadi ya uanachama wa chama hicho aliyekuwa Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai baada ya kujiunga na Chadema hivi karibuni. Kushoto ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Segerea, Makongoro Mahanga. Picha ya Maktaba
Tabora/Manyoni/Dar. Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa jana alizua sintofahamu baada ya kusema; “CCM oyee”, kauli iliyowafanya wananchi hao kukaa...

 

9 years ago

Vijimambo

Makamba Ashangazwa Na HAYA MAGAZETI MATATU KUHUSU Vichwa Vya Habari Kuhusu Lowassa


Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameonesha kushangazwa na mfanano wa vichwa vya habari vya magazeti ya leo kuhusu mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.Makamba ambaye ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, ameonesha kurasa za mbele za magazeti ya Mtanzania, Mwananchi na Tanzania Daima zilizokuwa na vichwa vya habari vinavyomnukuu Lowassa akitaka watanzania wasiogope.Amepost picha za magazeti hayo kwenye twitter na kuhoji kama mfanano huo ni bahati mbaya...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow

Wakati Watanzania wakisubiri utekelezaji wa maazimio ya Bunge juu ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust, imemtetea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuwa hastahili kuwajibishwa.

 

9 years ago

Vijimambo

Mwakyembe Amshambulia LOWASSA Kuhusu Sakata la Richmond Mwigulu Nchemba naye Adai Lowassa Ni Mpiga Dili Tangu Kijana


Mwakyembe Akihutibia UmatiAliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa walijiridhisha pasipo shaka kuhusika kwa Edward Lowassa katika sakata la Richmond na kwamba hawakumsingizia kama anavyojitetea hivi sasa.Mwakyembe aliyasema hayo mbele ya maelfu waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa mgombea urais wa CCM, Dk John...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sijahojiwa na CC

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema hajahojiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kuhusu kauli yake aliyoitoa Monduli kwa Waziri Mkuu wa zamani,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Niliyosema Monduli ni yangu

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema kuwa kauli yake aliyoitoa nyumbani kwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ni yake binafsi. Katika taarifa yake kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...

 

10 years ago

Daily News

CCM not affected by Msindai's exit


CCM not affected by Msindai's exit
Daily News
CHAMA Cha Mapinduzi in Singida region has said that the defection of its regional chairman, Mr Mgana Msindai, to the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo will not affect its strength in any way. “He has made his own decision to join Chadema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani