Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sheikh akoromea siasa za kuchafuana

Dodoma. Wanasiasa nchini wametakiwa kuachana na siasa za kufanya kampeni za kuchafuana kwa ajili ya kuwashawishi wananchi wawachague, kwa kuwa muda ukifika wale wanaohitajika ndiyo watakaochaguliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM kuchafuana tu

MALUMBANO ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yanayoonekana dhahiri kuchagizwa na makundi ya urais yameendelea kushika kasi ndani ya chama hicho. Baada ya jana Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi,...

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana

Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.

 

10 years ago

GPL

MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA

Naibu Waziri wa Habari Sayansi na Teknolojia na Mbunge wa Jimbo la Bumbuli (CCM) Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamini alipokuwa mkoani humo kusaka wadhamini wakati wa kugombea urai kwa tiketi ya chama hicho. Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamin. Mh.… ...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA, TUTAUA CHAMA

Na Mwandishi Wetu.Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa Januari Makamba amewaomba wanachama wenzake wa CCM walioko Njombe kutochukulia suala la ugombea kwa ushabiki kiasi cha kuzua mtafaruku ndani ya chama, jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wake.
Makamba ameyasema hayo alipokuwa akiwashukuru wanachama wenzake waliojitokeza kumdhamini ili kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sijahojiwa na CC

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema hajahojiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kuhusu kauli yake aliyoitoa Monduli kwa Waziri Mkuu wa zamani,...

 

10 years ago

Daily News

CCM not affected by Msindai's exit


CCM not affected by Msindai's exit
Daily News
CHAMA Cha Mapinduzi in Singida region has said that the defection of its regional chairman, Mr Mgana Msindai, to the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo will not affect its strength in any way. “He has made his own decision to join Chadema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai atetewa kuhusu Lowassa

MMOJA wa wanaharakati mkoani Tabora, Elisha Poneja, amemuunga mkono Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgana Msindai, kuhusu kauli yake dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Msindai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Niliyosema Monduli ni yangu

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema kuwa kauli yake aliyoitoa nyumbani kwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ni yake binafsi. Katika taarifa yake kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani