CCM kuchafuana tu
MALUMBANO ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yanayoonekana dhahiri kuchagizwa na makundi ya urais yameendelea kushika kasi ndani ya chama hicho. Baada ya jana Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Sheikh akoromea siasa za kuchafuana
Dodoma. Wanasiasa nchini wametakiwa kuachana na siasa za kufanya kampeni za kuchafuana kwa ajili ya kuwashawishi wananchi wawachague, kwa kuwa muda ukifika wale wanaohitajika ndiyo watakaochaguliwa.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana
Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.
10 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-4SEH525A0PE/VXqDsxkmWXI/AAAAAAAAWcM/jtX9XGvKkK4/s640/NJ2.jpg)
MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA
Naibu Waziri wa Habari Sayansi na Teknolojia na Mbunge wa Jimbo la Bumbuli (CCM) Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamini alipokuwa mkoani humo kusaka wadhamini wakati wa kugombea urai kwa tiketi ya chama hicho. Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamin. Mh.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4SEH525A0PE/VXqDsxkmWXI/AAAAAAAAWcM/jtX9XGvKkK4/s72-c/NJ2.jpg)
MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA, TUTAUA CHAMA
Na Mwandishi Wetu.Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa Januari Makamba amewaomba wanachama wenzake wa CCM walioko Njombe kutochukulia suala la ugombea kwa ushabiki kiasi cha kuzua mtafaruku ndani ya chama, jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wake.
Makamba ameyasema hayo alipokuwa akiwashukuru wanachama wenzake waliojitokeza kumdhamini ili kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi...
Makamba ameyasema hayo alipokuwa akiwashukuru wanachama wenzake waliojitokeza kumdhamini ili kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania