Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA

Naibu Waziri wa Habari Sayansi na Teknolojia na Mbunge wa Jimbo la Bumbuli (CCM) Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamini alipokuwa mkoani humo kusaka wadhamini wakati wa kugombea urai kwa tiketi ya chama hicho. Mh. January Makamba akicheza ngoma pamoja na wanachama wa CCM Mkoa wa Njombe waliojitokeza kumdhamin. Mh.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAKAMBA: TUEPUKE USHABIKI NA KUCHAFUANA, TUTAUA CHAMA

Na Mwandishi Wetu.Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa Januari Makamba amewaomba wanachama wenzake wa CCM walioko Njombe kutochukulia suala la ugombea kwa ushabiki kiasi cha kuzua mtafaruku ndani ya chama, jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wake.
Makamba ameyasema hayo alipokuwa akiwashukuru wanachama wenzake waliojitokeza kumdhamini ili kupata ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM kuchafuana tu

MALUMBANO ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yanayoonekana dhahiri kuchagizwa na makundi ya urais yameendelea kushika kasi ndani ya chama hicho. Baada ya jana Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...

 

10 years ago

Mwananchi

Sheikh akoromea siasa za kuchafuana

Dodoma. Wanasiasa nchini wametakiwa kuachana na siasa za kufanya kampeni za kuchafuana kwa ajili ya kuwashawishi wananchi wawachague, kwa kuwa muda ukifika wale wanaohitajika ndiyo watakaochaguliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Kampeni za kufarakanisha, kuchafuana

Kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu duniani kote ni cha propaganda. sera huwa hazipewi nafasi kubwa majukwaani isipokuwa kashfa, uzushi, matusi, uongo na kuchafuana huku wanawake wakitumika kama kete ya ushindi na kashfa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuepuke tafsiri potofu ya ‘Valentine’s Day’

LEO ni siku inayowagusa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiamini ndiyo siku ya kuonyeshana upendo ‘Valentine’s Day’, ambayo huadhimishwa Februari 14 kila mwaka. Katika siku hii, wengi hupeana zawadi mbalimbali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuepuke ubabe Bunge la Katiba — Dk. Shein

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Mohammed Shein, amewaonya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutotumia ubabe na jazba kuwasilisha hoja zao. Dk. Shein alitoa kauli hiyo juzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuepuke siasa katika vita dhidi ya ebola

Habari za kifo cha mwanamke mmoja aliyedaiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa ebola, ambacho kilitokea wiki iliyopita katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, kimeacha maswali mengi yanayohoji kama kweli wataalamu wetu wa afya wamepewa nafasi stahiki katika vita dhidi ya ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

Tujiweke sawa kiuchumi tuepuke aibu baada ya kustaafu

Ewe mfanyakazi wa sasa ambaye ni mstaafu wa kesho, umepanga kufanya nini baada ya kufikia ukomo wako wa kuajiriwa?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani