Tujiweke sawa kiuchumi tuepuke aibu baada ya kustaafu
Ewe mfanyakazi wa sasa ambaye ni mstaafu wa kesho, umepanga kufanya nini baada ya kufikia ukomo wako wa kuajiriwa?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Dan kustaafu baada ya kombe la dunia
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu
KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.
Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.
Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.
Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...
10 years ago
Mwananchi07 May
RAIS Kikwete: Nitajitosa kuhifadhi wanyamapori baada ya kustaafu
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.
Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.
“Sina...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)
Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]
The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Hali ya Mtwara kiuchumi baada ya shughuli za gesi
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili
9 years ago
Bongo517 Nov
Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm
![2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724-300x194.jpg)
Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini
Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.
Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.
Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa...