Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tujiweke sawa kiuchumi tuepuke aibu baada ya kustaafu

Ewe mfanyakazi wa sasa ambaye ni mstaafu wa kesho, umepanga kufanya nini baada ya kufikia ukomo wako wa kuajiriwa?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dan kustaafu baada ya kombe la dunia

Dan Carter Mchezaji wa timu ya taifa yaNew Zealand atastaafu baada ya kombe la dunia ya mwaka 2015 nchini Uingereza.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ishi vizuri kabla, baada ya kustaafu

KUSTAAFU ni tunu ambayo wachache hubahatika kuipata kwa sababu moja kubwa; umri wa kustaafu ni wa uzeeni na wengi hawaufikii.

Kwa kawaida kustaafu huwa ni kati ya umri wa miaka 55 na 60 ambapo Watanzania wengi hawaishi na kufikia miaka hiyo kwa sababu mbalimbali; nyingine zimo ndani ya uwezo wao nyingine nyingi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu.

Wengi hufariki dunia wakiwa bado ni watumishi iwe serikalini au katika sekta binafsi, wakilijenga taifa.

Naam, kustaafu ni tunu ingawa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

RAIS Kikwete: Nitajitosa kuhifadhi wanyamapori baada ya kustaafu

Mbwamwitu ni miongoni mwa  wanyamapori waliopo kwenye mkakati wa kuokolewa kutokana na hatari ya kutoweka kwenye hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

 

9 years ago

Dewji Blog

2016 mwaka wangu wa mwisho – Gerrard, hii ndiyo kazi anayowaza kufanya baada ya kustaafu

football-gerrard-steven_3304393

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Liverpool ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, Steven Gerrard (pichani) amesema anapenda kustaafu kucheza soka mwaka huu na kufanya kazi nyingine.

Gerrard ambaye ambaye aliondoka Liverpool mwaka uliyopita na kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS ambayo kwa sasa imemalizika aliliambia gazeti la Telegraph kuwa hana uhakika kwa asilimia zote kama utakuwa mwaka wake wa mwisho lakini anapendelea iwe hivyo.

“Sina...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio)

Headlines za wanasoka wa kibongo kuulizwa kuhusu lini watastaafu kucheza soka zimekuwa zikiandikwa sana mitandaoni na hata kwenye vyombo vya habari, alianza kusikika nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Dar Es Salaam Young African Nadir Haroub Canavaro kuwa kacheza kwa muda mrefu, hivyo lini atastaafu? Canavaro kupitia gazeti la habari […]

The post Baada ya Canavaro kutaja lini atafikiria kustaafu soka, Abdi Kassim kataja mwaka kabisa !!! (+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Hali ya Mtwara kiuchumi baada ya shughuli za gesi

Wananchi mkoani Mtwara wanalalamikia ugumu wa maisha baada ya kuanza shughuli za gesi wakisema imechangia gharama za maisha kupanda.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili

Mkutano wa wanachama wa Chama cha Wakulima wa Chai (Utega), uliofanyika Mei, 2013 na kwa kauli moja walichukua uamuzi wa kukifunga kiwanda walichokuwa wanamiliki kwa ubia na mwekezaji.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Ronda Rousey asema ‘nitarejea’, ni baada ya kupigwa kwa KO ya aibu na Holly Holm

2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724

Bondia Ronda Rousey amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya kushindwa kwa knock-out Jumapili ya jana na Holly Holm.

2E757F5600000578-3319107-image-a-41_1447569602724
Teke la Holly Holm lililomdondosha Ronda Rousey chini

Rousey alishindwa vibaya baada ya kuangushwa kwa teke kali la Holm kwenye raundi ya pili ya mchezo huo wa UFC uliovunja rekodi kwa kushuhudiwa na 56,214 huko Melbourne, Australia.

2E75796A00000578-3319107-image-m-25_1447568165431

Hilo ni pambano la kwanza kwa bondia huyo kushindwa.

1115-ronda-cut-getty-4

Baada ya pambano hilo bondia huyo alipelekwa kwenye hospitali ya mjini humo na kushindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani