Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili
Mkutano wa wanachama wa Chama cha Wakulima wa Chai (Utega), uliofanyika Mei, 2013 na kwa kauli moja walichukua uamuzi wa kukifunga kiwanda walichokuwa wanamiliki kwa ubia na mwekezaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...
5 years ago
CCM BlogMBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu
10 years ago
Bongo520 Aug
Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu
9 years ago
Bongo503 Nov
Genevieve Nnaji kuja na ‘Road to Yesterday’ baada ya kuwa kimya kwa miaka miwili
![12145477_790315321079211_455722967_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145477_790315321079211_455722967_n-94x94.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Uzazi wa mpango utekelezwe na familia kwa vitendo, ili kustawi vyema na kuimarika kiuchumi
Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa Singida, Aziza Mumba akikata utepe kuzindua nyota mpya ya kijani.
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Aziza Mumba akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Singida wakati wa uzinduzi wa kampeni mpya ya nyota ya kijani kwenye viwanja vya peoples Mjini Singida.
Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Mussa Kimala akizungumza kwenye sherehe hizo.
Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Martha Shekinyau akizungumza kwenye uzinduzi huo kwa niaba ya...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde
KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA