Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe

Wakulima wa chai mkoani Kagera, wameomba mwekezaji wa Kampuni ya Kagera Coffee Ltd, afukuzwe kwa kile wanachodai hana uhusiano mzuri na wakulima.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI

Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI


Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upinzani wataka Pinda afukuzwe

KUTOKANA na kashfa za ufisadi zinazozidi kuiandama Serikali ya Rais Jakaya Kikwete huku kukionekana kuwepo kwa danadana katika kuchukua hatua dhidi ya wahusika, Kambi ya Upinzani Bungeni imemtaka Rais kumfukuza...

 

11 years ago

Habarileo

Waliovunjiwa makazi na mwekezaji Moro wataka ulinzi

WAKAZI wa kijiji cha Kidago katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro ambao walivunjiwa makazi yao kwa kile kinachodaiwa kuvamia shamba la mwekezaji Martin Shem, wameiomba serikali na vyombo vya usalama mkoani Morogoro kuwawekea ulinzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima Karatu wapata mwekezaji

Wakulima wilayani Karatu Mkoa wa Arusha, wanatarajia kuongeza uzalishaji wa mazao baada ya taasisi ya kimataifa ya zana za kilimo ya nchini Belarus, kutangaza kuwekeza katika wilaya hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde

KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai hupoteza Sh3 bilioni kwa mwaka - SUA

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), umebaini kuwa zaidi ya Sh3 bilioni hupotea kwa mwaka kutokana na viwanda vingi kufungwa kutokana na migogoro ya wakulima wa chai sehemu za uzalishaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili

Mkutano wa wanachama wa Chama cha Wakulima wa Chai (Utega), uliofanyika Mei, 2013 na kwa kauli moja walichukua uamuzi wa kukifunga kiwanda walichokuwa wanamiliki kwa ubia na mwekezaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiza, wakulima Kagera wanahitaji juhudi zako

WAKATI  Rais Jakaya Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala kiingilie kati na kufanya uchunguzi kuhusu hali hiyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani