Waliovunjiwa makazi na mwekezaji Moro wataka ulinzi
WAKAZI wa kijiji cha Kidago katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro ambao walivunjiwa makazi yao kwa kile kinachodaiwa kuvamia shamba la mwekezaji Martin Shem, wameiomba serikali na vyombo vya usalama mkoani Morogoro kuwawekea ulinzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Watoto Moro wahitaji ulinzi zaidi
WATOTO wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Morogoro, wameandamana mjini hapa wakishinikiza kupatiwa ulinzi wa kutosha. Watoto hao walitoa ombi hilo juzi, baada ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Moro wataka vigogo wanyang’anywe ardhi
DIWANI wa Mafisa, Manispaa ya Morogoro, Francis Kayenzi, amelaumiwa kutokana na hatua ya vigogo serikalini kuchukua viwanja na kuvitelekeza katika kata yake. Wananchi wa kata hiyo, wamemtaka diwani huyo kuhakikisha...
11 years ago
Mwananchi16 May
Wananchi wataka ulinzi kwa albino
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji
11 years ago
Habarileo03 Oct
Mwekezaji amshukuru RC
MWEKEZAJI wa Shamba la Tanzania Plantation, Pradeep Lodhia ameishukuru Serikali kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo kwa kutoa maamuzi ya kuwa anamiliki shamba kihalali na si kama ilivyodaiwa awali kuwa shamba hilo ni mali ya Serikali.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Shamba la mwekezaji lavamiwa
WANANCHI zaidi ya 60 wamevamia shamba la muwekezaji mwenye asili ya kiasia, Pradeep Lodhia na kufanya uharibifu wa mali mbalimbali. Wananchi hao walivamia shamba la mwekezaji huyo lijulikanalo kama Tanzania Plantation lililopo...
11 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watakiwa kumpisha mwekezaji
WANANCHI waliovamia eneo la Nyantorotoro Kata ya Kalangalala Wilaya ya Geita mkoani hapa wametakiwa kuondoka mara moja ili kumpisha mwekezaji mwenye leseni kuendeleza shughuli zake za kuponda kokoto. Agizo hilo...