Watoto Moro wahitaji ulinzi zaidi
WATOTO wanaoishi katika mazingira magumu katika Manispaa ya Morogoro, wameandamana mjini hapa wakishinikiza kupatiwa ulinzi wa kutosha. Watoto hao walitoa ombi hilo juzi, baada ya maandamano ya kuadhimisha Siku ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jan
Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.
10 years ago
Habarileo03 Jan
Watoto yatima wahitaji msaada kulelewa
VITUO zaidi ya 180 nchini ndio vinavyolea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi huku 39 kati ya hivyo ndio vilivyosajiliwa na kwa Mkoa wa Arusha vinavyofanya kazi ni 13 huku vingine vikitoa huduma kwa watoto bila ya kusajiliwa.
5 years ago
CCM Blog
WAKULIMA WAHITAJI ELIMU ZAIDI MAGONJWA YA ZAO LA PARACHICHI
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza...
5 years ago
Michuzi
Wakulima wa parachichi wahitaji elimu zaidi ya magonjwa ya zao hilo
Wakulima wa zao la parachichi wa kijiji cha Igongolo wilayani Njombe,wamesema licha ya kupata elimu na kufanikiwa katika kilimo hicho lakini wametoa wito kwa wataalamu wa serikali na wadau wa kilimo kuendelea kutoa elimu katika zao hilo kutokana na changamoto ya magonjwa wanayokumbana wakati wa kilimo.
Mwenyekiti wa kikundi cha wakulima wa parachichi cha Nguvu kazi kilichopo kijiji cha Igongolo Fanuel Salingwa kwa niaba ya wakulima wa parachichi amewaeleza wataalamu...
11 years ago
Habarileo09 Feb
Waliovunjiwa makazi na mwekezaji Moro wataka ulinzi
WAKAZI wa kijiji cha Kidago katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro ambao walivunjiwa makazi yao kwa kile kinachodaiwa kuvamia shamba la mwekezaji Martin Shem, wameiomba serikali na vyombo vya usalama mkoani Morogoro kuwawekea ulinzi.
10 years ago
GPL
WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro