Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro
>Watoto watano wamekufa maji katika maeneo mbalimbali mkoani Morogoro na mwingine Dar es Salaam jana baada ya kutumbukia kwenye mito na mashimo yaliyofurika maji ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 May
Mvua zaua watano Dar, mamia hawana makazi
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Watano mbaroni kwa ujambazi Moro, Dom
OPERESHENI maalum iliyoshirikisha askari polisi wa mikoa ya Morogoro na Dodoma, imefanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na matukio ya ujambazi na ujangili wakiwa na bunduki moja. Kamanda wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mvua yaua watano Singida
MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi mkoani Singida, imesababisha vifo vya watu watano, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji wakati wakivuka mto Nalala wilayani Iramba. Kamanda wa...
10 years ago
Vijimambo22 Sep
SHULE ZAFUNGWA JIJINI DAR KUHOFIA WATOTO KUTEKWA
![](http://www.baabkubwamagazine.com/wp-content/uploads/2014/09/114-560x336.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 May
Mvua yaua wanafunzi watano Rungwe
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Barabara ya Moro -Dom yatengamaa
11 years ago
Habarileo25 Jan
Barabara ya Moro -Dodoma yafunguka
MAGARI yaliyokuwa yamekwama kwa siku tatu kuanzia Januari 22, kwenye barabara kuu ya Morogoro - Dodoma, baada ya daraja la Mkundi eneo la Magole, wilayani hapa kuharibiwa na mafuriko, yalianza kupita jana asubuhi baada ya matengenezo ya muda kukamilika. Mbali na malori, pia mabasi yaliyokuwa yakitoka Dodoma nayo yalipita eneo hilo, baada ya gari la kwanza kuruhusiwa saa 4:30 asubuhi, siku mbili baada ya kuanza matengenezo yaliyopangwa kuchukua siku nne hadi kesho, kazi iliyozinduliwa na...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.