Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro

>Watoto watano wamekufa maji katika maeneo mbalimbali mkoani Morogoro na mwingine Dar es Salaam jana baada ya kutumbukia kwenye mito na mashimo yaliyofurika maji ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mvua zaua watano Dar, mamia hawana makazi

>Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watano mbaroni kwa ujambazi Moro, Dom

OPERESHENI maalum iliyoshirikisha askari polisi wa mikoa ya Morogoro na Dodoma, imefanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na matukio ya ujambazi na ujangili wakiwa na bunduki moja. Kamanda wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaua watano Singida

MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi mkoani Singida, imesababisha vifo vya watu watano, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji wakati wakivuka mto Nalala wilayani Iramba. Kamanda wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHULE ZAFUNGWA JIJINI DAR KUHOFIA WATOTO KUTEKWA

Uvumi wa kuwapo kwa watu wanaoteka nyara watoto kwa kutumia magari aina ya Noah, umeleta mtafaruku katika shule saba za msingi Manispaa ya Temeke, na kusababisha wazazi kuvamia shule hizo na kufungwa kwa muda.Hata hivyo, katika baadhi ya shule hizo kumeripotiwa kutokea vurugu kiasi cha jeshi la polisi kuingilia kati kutawanya watu waliotaka kuvunja mageti ya kuingilia kwenye shule hizo.Taarifa za kuwapo kwa matukio ya watoto kutekwa na watu wasiojulikana zilianza kuenea wiki tatu zilizopita,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaua wanafunzi watano Rungwe

Wanafunzi watano wa Shule za Msingi Ikuti na Igembe, wilayani Rungwe wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwamo la watatu kutumbukia kwenye mto.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi

>Watu watano wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, watatu kati yao wakiwamo wanafunzi wawili, wakipoteza maisha baada ya kibanda walichojihifadhi kujikinga na mvua kuangukiwa na nguzo ya umeme na kuwaunguza.

 

11 years ago

Mwananchi

Barabara ya Moro -Dom yatengamaa

Hatimaye Daraja la Magole la Mto Mkundi ambalo tuta zake zilisombwa na maji na kusababisha huduma ya usafiri kati ya Morogoro na Dodoma kukatika kwa siku tatu, limefunguliwa kwa kuruhusiwa magari ya mizigo yenye uzito wa zaidi ya tani saba kupita.

 

11 years ago

Habarileo

Barabara ya Moro -Dodoma yafunguka

MAGARI yaliyokuwa yamekwama kwa siku tatu kuanzia Januari 22, kwenye barabara kuu ya Morogoro - Dodoma, baada ya daraja la Mkundi eneo la Magole, wilayani hapa kuharibiwa na mafuriko, yalianza kupita jana asubuhi baada ya matengenezo ya muda kukamilika. Mbali na malori, pia mabasi yaliyokuwa yakitoka Dodoma nayo yalipita eneo hilo, baada ya gari la kwanza kuruhusiwa saa 4:30 asubuhi, siku mbili baada ya kuanza matengenezo yaliyopangwa kuchukua siku nne hadi kesho, kazi iliyozinduliwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa

MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani