Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi

>Watu watano wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, watatu kati yao wakiwamo wanafunzi wawili, wakipoteza maisha baada ya kibanda walichojihifadhi kujikinga na mvua kuangukiwa na nguzo ya umeme na kuwaunguza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaua wanafunzi watano Rungwe

Wanafunzi watano wa Shule za Msingi Ikuti na Igembe, wilayani Rungwe wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwamo la watatu kutumbukia kwenye mto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaua watano Singida

MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi mkoani Singida, imesababisha vifo vya watu watano, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji wakati wakivuka mto Nalala wilayani Iramba. Kamanda wa...

 

11 years ago

Habarileo

Maji yaua watu watano Dar

WATU watano wamekufa katika matukio matano tofauti baada ya kusombwa na maji katika maeneo tofauti ya jiji la Dar es Salaam. Katika tukio la kwanza lililotokea Chanika, mtoto wa kike aliyefahamika kwa jina la Lainant Ramadhani (2) alikufa baada ya kutumbukia kwenye shimo la maji lililopo jirani na nyumba yao.

 

10 years ago

Habarileo

Mvua kubwa yaua Dar

Wakazi wa Dar es Salaam wakipita ndani ya dimbwi la maji ya mvua yaliyotuama katika Barabara ya Bibi Titi jirani na kituo cha daladala ya chumba cha Dada Pendo, cha Akiba kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana. (Picha na Mroki Mroki).MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua zaua watano Dar, mamia hawana makazi

>Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa.

 

10 years ago

Habarileo

Mvua yaua 5 Dar es Salaam, yajeruhi

Nyumba za wakazi wa Bonde la Hananasif, Kinondoni zikiwa zimefunikwa na maji baada ya bonde hilo kufurika maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).HALI ni tete katika jiji la Dar es Salaam, kutokana na mvua ya masika iliyonyeshwa kwa siku tatu na kusababisha vifo vya watu watano, huku nyumba nyingi zikiwa zimezingirwa na maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo

MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...

 

9 years ago

Vijimambo

WATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA WAMO RAIA WA ETHIOPIA


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
     Na Jamiimojablog.       Watu watano wamefariki dunia   Mkoani Mbeya katika matukio matatu tofauti likiwemo la ajali ya haice iliyosababisha vifo vya watu wanne mkoani hapa.                Katika tukio la kwanza gari  lenye namba za usajili  T.519 AKH aina ya Toyota Haice ikiendeshwa na dereva  asiyefahamika kugongana na pikipiki yenye namba za usajili  T.535 AWC aina Ya T-Better eneo la Nanenane Jijini Mbeya.      Ajali hiyo imetokea Septemba...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini

WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani