Mvua zaua watano Dar, mamia hawana makazi
>Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi
10 years ago
MichuziDAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii.
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Mvua yazua balaa Buguruni, watu 1,163 hawana mahali pa kuishi
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mvua yaua watano Singida
MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi mkoani Singida, imesababisha vifo vya watu watano, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji wakati wakivuka mto Nalala wilayani Iramba. Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Wakosa makazi baada ya mvua kubwa
11 years ago
Mwananchi18 May
Mvua yaua wanafunzi watano Rungwe
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mvua yaacha watu 400 bila makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na mawe na upepo mkali, imewaacha zaidi ya watu 400 katika kijiji cha Mwandoya wilayani Meatu mkoani Simiyu bila kuwa na mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kuezuliwa.