Mvua yaacha watu 400 bila makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na mawe na upepo mkali, imewaacha zaidi ya watu 400 katika kijiji cha Mwandoya wilayani Meatu mkoani Simiyu bila kuwa na mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kuezuliwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bomoabomoa Arusha yaacha watu 216 bila makazi
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, imebomoa nyumba zake kwenye maeneo ya Kilombero, Themi na Kaloleni ambazo zilikuwa zinakaliwa na wapangaji 216. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa madiwani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLHe9ElTHkI/VUhj880JnLI/AAAAAAAAQ4Y/uH8vJMa-BDo/s72-c/11117428_10155488806970247_2001604654_n.jpg)
ZAIDI YA FAMILIA 200 ZAACHWA BILA MAKAZI ZANZIBAR KUFUATIA MVUA KALI ZA MASIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLHe9ElTHkI/VUhj880JnLI/AAAAAAAAQ4Y/uH8vJMa-BDo/s400/11117428_10155488806970247_2001604654_n.jpg)
Na Abou Shatry wa Swahili Villa
Familia zisizopungua 200 zimeachwa bila makaazi baada ya makaazi yao kuharibiwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoikumba manispaa ya mji wa Unguja na vitongoji vyake.Akizungumza na Swahilivilla kwa njia ya simu, mkaazi wa Mwanakwerekwe Sokoni, mjini Unguja ndugu Mussa Makame alisema kuwa mvua hizo zilizoendelea kwa muda wa siku mbili mfululizo, zimepelekea maafa makubwa katika miundombinu mjini...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Mvua yaua watu watatu, kaya zaidi ya 70 zakosa makazi
Watu watatu wamefariki dunia na familia zaidi ya 70 zimekosa mahala pa kuishi, huku mifugo zaidi ya 150 ikisadikiwa kufa baada ya kukumbwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Arumeru mkoani Arusha. Â Â Â
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Ebola yaacha watoto bila wazazi
Ebola ni janga kubwa nchini Guinea, Liberia na Sierra Leone, ambako zaidi ya watoto 4,000 wameachwa bila wazazi
10 years ago
Michuzi19 May
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAKAZI YA WATU TEGETA,BUNJU NA KUNDUCHI NA KUJENGA MFEREJI WA KUDUMU KUPITISHA MAJI YA MVUA KUELEKEA BAHARI YA HINDI
![AT1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT1.jpg)
![AT2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT2.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Familia 400 zakosa makazi
 Kaimu Mkurugenzi wa Maafa wa Shirika la Msalaba Mwekundu, Renatus Mkaruka amesema familia zaidi ya 400 za Dar es Salaam hazina makazi na zinaishi kwenye vituo visivyo rasmi.
9 years ago
VijimamboNOAH YAACHA NJIA NA KUUWA WATU 9 WILAYANI MISUNGWI
Watu tisa waliokuwa wakisafiri na gari dogo aina ya noah namba T812 BJU, wamefariki dunia papo hapo baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka jana jioni.
Ajali hiyo imetokea saa 11 jioni katika kijiji cha Mwamanga wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza kwenye barabara kuu ya kutoka Shinyanga kuelekea Mwanza, wakati gari hilo kumshinda dereva wake ambaye ni koplo mstaafu wa jeshi, Moris Lukenza, mkazi wa Geita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Charles Mkumbo,...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Mvua yaharibu makazi ya familia 14
Familia 14 zenye watu 74 za kijiji cha Ngumbu, wilaya ya Liwale, mkoani Lindi hazina makazi kutokana na mvua iliyoambatana na upepo mkali ambayo pia imeezua madarasa matatu na stoo ya shule ya kijiji hicho.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania