Bomoabomoa Arusha yaacha watu 216 bila makazi
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, imebomoa nyumba zake kwenye maeneo ya Kilombero, Themi na Kaloleni ambazo zilikuwa zinakaliwa na wapangaji 216. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa madiwani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mvua yaacha watu 400 bila makazi
MVUA kubwa iliyoambatana na mawe na upepo mkali, imewaacha zaidi ya watu 400 katika kijiji cha Mwandoya wilayani Meatu mkoani Simiyu bila kuwa na mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kuezuliwa.
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Bomoabomoa yaacha vilio, simanzi Dar
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Ebola yaacha watoto bila wazazi
9 years ago
VijimamboNOAH YAACHA NJIA NA KUUWA WATU 9 WILAYANI MISUNGWI
Watu tisa waliokuwa wakisafiri na gari dogo aina ya noah namba T812 BJU, wamefariki dunia papo hapo baada ya gari hilo kuacha njia na kupinduka jana jioni.
Ajali hiyo imetokea saa 11 jioni katika kijiji cha Mwamanga wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza kwenye barabara kuu ya kutoka Shinyanga kuelekea Mwanza, wakati gari hilo kumshinda dereva wake ambaye ni koplo mstaafu wa jeshi, Moris Lukenza, mkazi wa Geita.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Charles Mkumbo,...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Utulivu watawala bomoabomoa Arusha
10 years ago
MichuziZAIDI YA FAMILIA 200 ZAACHWA BILA MAKAZI ZANZIBAR KUFUATIA MVUA KALI ZA MASIKA
Na Abou Shatry wa Swahili Villa
Familia zisizopungua 200 zimeachwa bila makaazi baada ya makaazi yao kuharibiwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyoikumba manispaa ya mji wa Unguja na vitongoji vyake.Akizungumza na Swahilivilla kwa njia ya simu, mkaazi wa Mwanakwerekwe Sokoni, mjini Unguja ndugu Mussa Makame alisema kuwa mvua hizo zilizoendelea kwa muda wa siku mbili mfululizo, zimepelekea maafa makubwa katika miundombinu mjini...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mafuriko yakosesha makazi watu 7,000
TAKRIBAN wakazi 7,000 wa kata tatu zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana mahala pa kuishi baada ya nyumba zao zinazokadiriwa kufikia 2,500 kusombwa na kumezwa na mafuriko. Mafuriko...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Uwanja wa Majimaji wageuzwa makazi ya watu
10 years ago
Mwananchi15 May
Sera makini za makazi zitawanusuru watu Dar