Utulivu watawala bomoabomoa Arusha
Hatimaye Halmashauri ya Jiji la Arusha imeanza kubomoa nyumba zaidi ya 300 baada ya malumbano ya kisheria mahakamani, yaliyochukua muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Utulivu watawala uchaguzi Zanzibar
NORA DAMIAN NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
UPIGAJI kura za uchaguzi mkuu jana umefanyika kwa amani Visiwani Zanzibar, licha ya kuwapo kwa kasoro ndogondogo.
Vituo vingi vya kupigia kura vilianza shughuli zake saa moja asubuhi na wananchi walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowapenda.
Jana MTANZANIA ilitembelea vituo vya Shule ya Msingi Bungi, Jimbo la Tunguu, Mkoa wa Mjini Magharibi, Shule ya Maandalizi ya Msingi Kiembesamaki, Mtoni Kidatu na Malindi na kushuhudia wananchi...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jnpPJ1Ou2zU/U0_IqSnI0ZI/AAAAAAAFbfQ/tMlN2uxXTmc/s72-c/unnamed+(1).jpg)
utulivu watawala bunge la katiba mjini dodoma leo - kwa mara ya kwanza toka lizinduliwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-jnpPJ1Ou2zU/U0_IqSnI0ZI/AAAAAAAFbfQ/tMlN2uxXTmc/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DNNTQMWgr94/U0_It-ZsK8I/AAAAAAAFbfo/4MshwGMcUAk/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1xeHF1XwQyw/U0_IrXWQ59I/AAAAAAAFbfY/Efq8QyjOXI4/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vq7-YO6o3oo/U0_IryPUmDI/AAAAAAAFbfc/YSzEHvodD4M/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Bomoabomoa Arusha yaacha watu 216 bila makazi
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, imebomoa nyumba zake kwenye maeneo ya Kilombero, Themi na Kaloleni ambazo zilikuwa zinakaliwa na wapangaji 216. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa madiwani...
9 years ago
StarTV07 Oct
Magufuli asisitiza amani na utulivu kwa mkoa wa Arusha
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Magufuli ameonya kuwa kuendelea kwa vitendo vya vurugu mkoani Arusha huenda kukaharibu sifa ya mkoa huo ambao unaheshimika kitaifa na kimataifa.
Dokta Magufuli amesema heshima ya Mji huo imeifanya Tanzania kujulikana zaidi duniani kuwa nchi yenye amani na utulivu ingawa sasa vitendo vya vurugu mkoani humo vinahofiwa kuipoteza sifa hiyo.
Mbio za kuusaka urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM zimemfikisha Dokta John Magufuli katika...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Maaskofu: Watawala wameshindwa
BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Urusi watawala Olimpiki Sochi
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mzaha watawala Bunge la Katiba
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa
“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...