Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa
“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Je, mapenzi yana upofu?
Siku moja nilikuta watu wakibishana kama mapenzi yana hali ya upofu ama hapana. Wale waliokuwa wakiamini mapenzi yana upofu wanasema wanaamini hivyo kwa sababu mtu anayependa hata kama anayempenda ana chongo yeye husema ni makengeza tu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-MeNb2aDJx1mXL4ZikKs1o92viq6sfxaybl886zDsmaamNICMyUDKeYcz4urDBIXyVEGr3tv8Hb-U3rArqu8DETPVGFxx3wS/maiamatha.jpg?width=650)
MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU
Stori: Shakoor Jongo
MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia. Maimartha Jesse. Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao. Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya...
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Utafiti:Viagra husababisha upofu.
Watafiti nchini Australia wanadai kwamba dawa inayotumiwa kuongeza nguvu za kiume VIAGRA husababisha upofu baada ya mda mrefu.
9 years ago
Bongo524 Oct
Video: Davista ft. Mo Music — Upofu
Davista ni msanii mpya kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia wimbo wake wa kwanza akiwa ameshirikisha Mo Music. Video ya wimbo huu uitwao ‘Upofu’ imeongozwa na director Nicklass na audio imetayarishwa na producer Lollipop. Mbali na muziki Davista pia ni Baharia. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Nililala nikiwa naona, nikaamka na upofu
>“Wengi wetu tunaishi bila kujiuliza maswali kama; “Itakuwaje iwapo siku nitaamka nikiwa sina uwezo wa kuona tena? Hatujiulizi maswali kama haya kwa sababu tunavichukulia vitu muhimu kuwa vya kawaida tu.â€
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Johari: Upofu wa kwenye Filamu ulinitesa
Alianza kuigiza tangu enzi za kundi la sanaa za maigizo la Kaole, lakini hajawahi kushuka kiwango katika uigizaji.
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Glaucoma:Ugonjwa usio na dalili unaosababisha upofu
Glaucoma ni ugonjwa tata ambao huathiri seli za macho zinazosaidia kuona na huweza kusababisha mtu kupoteza uwezo wa kuona. Ni ugonjwa unaochangiwa na mgandamizo mkubwa ndani ya macho unaosababishwa na maji maji yanayoingia na kutoka kwenye jicho.
10 years ago
Mwananchi28 Mar
‘Wanywa pombe kali hatarini kupata upofu’
>Unywaji pombe kali kupita kiasi, umetajwa kuwa chanzo cha upofu, huku uhaba wa madaktari wanaotibu ugonjwa huo, vifaa tiba vikielezwa kuwa kikwazo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCss5JTbQSS2f1vamvs7B3jOzVsx8r5RI*Q1f9a7WXVAWihVtfGQLQ47ATq6jLsARD1azRRINTuuLqqqh8slwLVq/Mathayo.jpg?width=650)
MUME AOTA MAGAMBA, MKE APATA UPOFU
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
MKE na mume wa familia moja, Mathayo George (61) na Beatus Mathayo (49) wakazi wa Nachingwea mkoani Lindi wamejikuta kwa nyakati tofauti wakikumbwa na magonjwa ya ajabu ambapo mume ameota magamba huku mke akipata upofu. Mathayo George (61) anayeugua ugonjwa wa kuota magamba. MUME ALIANZA KUPATA VIPELE
Akizungumza na waandishi wetu jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mathayo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania