‘Wanywa pombe kali hatarini kupata upofu’
>Unywaji pombe kali kupita kiasi, umetajwa kuwa chanzo cha upofu, huku uhaba wa madaktari wanaotibu ugonjwa huo, vifaa tiba vikielezwa kuwa kikwazo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
mamilioni wako hatarini kupata malale
10 years ago
Habarileo08 Feb
Albino vijijini hatarini kupata saratani ya ngozi
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanaoishi vijijini, wana hatari ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wapenda makalio makubwa hatarini kupata saratani ya ubongo
NI kitendo chenye madhara makubwa kwa afya na hata kuchukua uhai wa mwanadamu, lakini hakielekei kukoma
miongoni mwa wanawake kwa sababu tu ya kuabudu urembo.
Ni uchomaji sindano makalioni ili kuyakuza kuwa katika ukubwa wanaoutaka, ambao hapa Tanzania kwa jina la mitaani unajulikana kama makalio ya Kichina.
Wanawake kote nchini Marekani na kwingineko duniani wamekuwa wakihatarisha maisha yao kwa kumiminika katika ‘soko jeusi’ la upandikizaji makalio ili wapate yenye ukubwa...
9 years ago
StarTV23 Sep
Wenye shughuli za kuhamahama wako hatarini zaidi kupata VVU:
Utafiti ulioendeshwa na Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu IOM kwa ushirikiano na Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC unaonesha kuwa jamii kubwa inayofanya shughuli za kiuchumi kwenye maeneo ya bandari iko kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI kutokana na kutokuwepo kwa mtandao unaotoa elimu ya kupambana na ugonjwa huo kwenye mazingira yao.
Taarifa hiyo inasema, elimu juu ya matumizi ya kinga bado ni changamoto kwa jamii hiyo hivyo wengi...
11 years ago
MichuziASILIMIA 25 YA WANAWAKE WAKO HATARINI KUPATA SARATANI YA SHINGO YA UZAZI.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watishia kufunga viwanda vya bia na vya pombe kali
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Bagamoyo wanywa maji ya malambo
WAKAZI wa Kijiji cha Dihozile, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, wanatembea kwa saa mbili kufuata huduma ya maji ya malambo. Wakizungumza na Tanzania Daima hivi karibuni, walisema tangu kijiji hicho...
11 years ago
GPLWANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10