Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Glaucoma:Ugonjwa usio na dalili unaosababisha upofu

Glaucoma ni ugonjwa tata ambao huathiri seli za macho zinazosaidia kuona na huweza kusababisha mtu kupoteza uwezo wa kuona. Ni ugonjwa unaochangiwa na mgandamizo mkubwa ndani ya macho unaosababishwa na maji maji yanayoingia na kutoka kwenye jicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KIFUA KIKUU NI UGONJWA WA TATU UNAOSABABISHA VIFO VYA WATU WENGI HAPA NCHINI.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa  wa kifua kikuu   kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma leo.  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsilikiza Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid wakati akitoa tamko kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu   kwenye ukumbi wa wizara hiyo mjini Dodoma leo    Meneja Mpango  wa kudhibiti kifua kikuu na ukoma, Dk. Beatrice Mutayoba wa kwanza kulia , katikati ni Naibu Meneja wa  mpango  huo, kushoto ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi ugonjwa usio wa kawaida aina ya kawasaki unavyoathiri watoto

"Hilo halistahili kufanya wazazi wasiwaruhusu watoto kutoka nje."

 

10 years ago

GPL

VIFAA VYA KUBAINI DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA EBOLA KUPITIA JOTO LA MWILI VYAWASILI NCHINI, KUANZA KUTUMIKA VIWANJA VYA NDEGE

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Kebwe Steven Kebwe (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi Dkt. Elias Chinamo moja ya kifaa (kamera) itakayotumika kupima dalili za ugonjwa wa Ebola kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia viwanja vya ndege ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa salama kwa kuuzuia ugonjwa huo kuingia nchini.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

GLAUCOMA “mwizi wa macho wa kimyakimya”

Conjoined twins Apollo hospital

Mwezi Januari kila mwaka jumuiya za kimataifa uungana ili kuongeza uelewa na kujenga ufahamu juu ya ugonjwa wa Glaucoma. Kampeni hii ya mwezi mzima inalenga kuleta tahadhari na kuelimisha juu ya chanzo, sababu na madhara ya ugonjwa huo, kampeni hii pia ulenga kuutaka umma kuchukua hatua madhubuti kabla  ugonjwa huu mbaya haujasababisha athari kubwa. Kutokana na asili ya ugonjwa huu imesababisha ujulikane kama “the sneak thief of sight”, yaani mwizi wa macho anayekuja kwa kunyata. Hii...

 

11 years ago

GPL

MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU

Stori: Shakoor Jongo
MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia. Maimartha Jesse. Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao. Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, mapenzi yana upofu?

Siku moja nilikuta watu wakibishana kama mapenzi yana hali ya upofu ama hapana. Wale waliokuwa wakiamini mapenzi yana upofu wanasema wanaamini hivyo kwa sababu mtu anayependa hata kama anayempenda ana chongo yeye husema ni makengeza tu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa

“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davista ft. Mo Music — Upofu

Davista ni msanii mpya kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia wimbo wake wa kwanza akiwa ameshirikisha Mo Music. Video ya wimbo huu uitwao ‘Upofu’ imeongozwa na director Nicklass na audio imetayarishwa na producer Lollipop. Mbali na muziki Davista pia ni Baharia. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Viagra husababisha upofu.

Watafiti nchini Australia wanadai kwamba dawa inayotumiwa kuongeza nguvu za kiume VIAGRA husababisha upofu baada ya mda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani