Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, mapenzi yana upofu?

Siku moja nilikuta watu wakibishana kama mapenzi yana hali ya upofu ama hapana. Wale waliokuwa wakiamini mapenzi yana upofu wanasema wanaamini hivyo kwa sababu mtu anayependa hata kama anayempenda ana chongo yeye husema ni makengeza tu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAPENZI YANA MAUMIVU LAKINI YANASAHAULIKA!

Ni wiki nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya XXlove tunakutana tena jamvini hapa kwa neema na rehema za Mwenyezi Mungu. Leo tunaangalia ni kwa namna gani mapenzi yanaweza kuwa sumu kali inayosambaa kwa haraka sana katika miili ya wanadamu wa jinsi zote. Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote...

 

11 years ago

GPL

MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU

Stori: Shakoor Jongo
MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia. Maimartha Jesse. Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao. Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davista ft. Mo Music — Upofu

Davista ni msanii mpya kutoka Rock City, Mwanza ambaye ameachia wimbo wake wa kwanza akiwa ameshirikisha Mo Music. Video ya wimbo huu uitwao ‘Upofu’ imeongozwa na director Nicklass na audio imetayarishwa na producer Lollipop. Mbali na muziki Davista pia ni Baharia. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa

“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Viagra husababisha upofu.

Watafiti nchini Australia wanadai kwamba dawa inayotumiwa kuongeza nguvu za kiume VIAGRA husababisha upofu baada ya mda mrefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Nililala nikiwa naona, nikaamka na upofu

>“Wengi wetu tunaishi bila kujiuliza maswali kama; “Itakuwaje iwapo siku nitaamka nikiwa sina uwezo wa kuona tena? Hatujiulizi maswali kama haya kwa sababu tunavichukulia vitu muhimu kuwa vya kawaida tu.”

 

10 years ago

Mwananchi

Johari: Upofu wa kwenye Filamu ulinitesa

Alianza kuigiza tangu enzi za kundi la sanaa za maigizo la Kaole, lakini hajawahi kushuka kiwango katika uigizaji.

 

10 years ago

GPL

MUME AOTA MAGAMBA, MKE APATA UPOFU

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
MKE na mume wa familia moja, Mathayo George (61) na Beatus Mathayo (49) wakazi wa Nachingwea mkoani Lindi wamejikuta kwa nyakati tofauti wakikumbwa na magonjwa ya ajabu ambapo mume ameota magamba huku mke akipata upofu. Mathayo George (61) anayeugua ugonjwa wa kuota magamba. MUME ALIANZA KUPATA VIPELE
Akizungumza na waandishi wetu jijini Dar es Salaam hivi karibuni, Mathayo...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanywa pombe kali hatarini kupata upofu’

>Unywaji pombe kali kupita kiasi, umetajwa kuwa chanzo cha upofu, huku uhaba wa madaktari wanaotibu ugonjwa huo, vifaa tiba vikielezwa kuwa kikwazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani