MAPENZI YANA MAUMIVU LAKINI YANASAHAULIKA!
![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4plQ7q-eLOgozVskdQPa2yQHl9HYjjcUW2oFR9bmPKk9Y4qoC3FU2dNkCmr-5049fUTD9LhRCWjptlAEvCM51YJ/happy_couple.jpg?width=650)
Ni wiki nyingine mpenzi msomaji wa safu hii ya XXlove tunakutana tena jamvini hapa kwa neema na rehema za Mwenyezi Mungu. Leo tunaangalia ni kwa namna gani mapenzi yanaweza kuwa sumu kali inayosambaa kwa haraka sana katika miili ya wanadamu wa jinsi zote. Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Je, mapenzi yana upofu?
9 years ago
Vijimambo24 Aug
PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI
![](http://citifmonline.com/wp-content/uploads/2015/04/black-happy-couple.jpg)
Wiki iliyopita tulizungumza kuhusu kitu gani mapenzi yalikufanyia. Leo nitazungumza na wale walioumizwa na mapenzi na kutamani kuyaepuka, wakati ukweli ni kwamba hayaepukiki moja kwa moja isipokuwa labda kwa muda.
Najua wengi mnaweza kushangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe, pamoja na kuumizwa, kuteswa, kusimangwa, kutukanwa, kupigwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/LGdhCycw6D-ZkN27MQFoG-MfL*q9ZnMtT2vnSMn*9myDvqEMGun2Sr4XJQkye6B2PL8U*IZ4SBOVcAzx9jiEsgponZGaIPDB/unhappymarriage.jpg?width=650)
PAMOJA NA MAUMIVU, HUWEZI KUYAEPUKA MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv-CmlTXLJH4-CtfM4xdWHodZY17c1YDp7c13l1UOX**zbijAnZ4kxjRDO2To7GSZBzoorqrYTleO8L94ZiQhMfg/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT0G*4mlmktMqQ*uLR9OP3M5L1ahUu5vtCFmW*AUPb19xfJFljuFUID1*a9DWJYVG8z7cdItDxuIFajxIT1HTSMz/Love.jpg)
UKIZIJUA MBINU HIZI, MAUMIVU YA MAPENZI UTAYASIKIA TU -2
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?
MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana.
Mapenzi haya au kwa lugha nyingine ngono ya kinywa (oral sex) ni ile tabia ya wahusika kunyonyana ndimi na sehemu nyingine nyeti. Wengi wanaamini ni uhodari wa kisasa wakati huu wa sayansi na teknolojia.
Lakini pamoja na wengi kuitumia njia hii kukamilisha furaha yao ya mapenzi, tabia hii huchangia wahusika kupata magonjwa mbalimbali, hususan ugonjwa mbaya wa kansa ya koo.
KUNDI...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLo4*hRp0bi-s-bYdVOB8OaZbiv714gEXMP1*PLTiyJLfETSwh9KON93ZTlQOtZm8IOy3lRDuZ4rNTJIFR1dbHkr/Untitled1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKW4B*dqo00Kia0ZyDDtxLbi1A2oI2aRSQ07iElhrv3ycKkjQdYqqIXSEqAyNSW7XohW6SzCSyCUEETp46tukOZ/1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...